Naomba kazi siitwi hata kwa interview

Naomba kazi siitwi hata kwa interview

Sawa
Kuna demu ni mwalimu alianza kuomba since 2019 na hakuwai kuitwa hata sahili moja NGOs yoyote
Mpaka mwaka jana mwezi wa 3 ndio akaitwa kwenye NGOs moja kubwa saana ana mkataba wa miaka mitatu salary ya 3.4 milioni na malupulupu kadhaa
Sasa yupo anasimamisha nyumba za kupangisha kwa fujo kasulu

Anasema hataki TENA umasikini anajijengea misingi imara but she is single mother
Kaka kigoma kwenye mashirika na NGOS kuna hela ila ukifanikiwa kupata
Nipo huku ila sipo kitengo kaka maana nasaka hata kujitolea nakosa
Aisee kama hautajali tuongee machache inbox

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasahivi nilitaka kuuliza kuhusu hizi NGO na wewe ndio umeposti

Naomba kuuliza hizi taarifa za kazi za NGO naweza kuzipatia wapi Mkuu na naweza kuzifahamu vipi na zinapofanyia kazi
Nisikufich KIGOM kuna NGOs kibao na mashirika mengi coz ya refugees wengi ni huku
Kama unawez kujitesa hata miez 2 ukaja kigoma kupambana unawez toboa japo nikupamban
Me mwenyew niko huku nazisaka sana ila bila kuanza na kujitolea ni shughul na mm ndio naitafuta hata hiyo nafasi mkuu.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shida ipo pale kwenye Million 2 na marupurupu kwa Mwezi, hakuna anaepanda ngazi akafurahia kushuka wewe ushazoea maisha ya Million 2 leo hii mtu akwambie anakulipa 200,000 au 300,000 kwa mwezi utamuona km anakuzingua tu huwezi fanya kazi za Bei rahisi, Suluhu ni moja tu JIAJIRI MWENYEWE
najiuliza pia hiyo 2M hata kama alifanya kwa mkataba wa miezi 6 au mwaka hakuweza kuwa na lengo akawekeza kwenye mchongo wowote wakumuingizia kipato kipindi mkataba ukaisha?
 
Back
Top Bottom