nashukuru mzima
JF-Expert Member
- Jul 11, 2017
- 1,014
- 1,914
- Thread starter
- #21
Asante Sana kwa Encourage.Sawa
Kuna demu ni mwalimu alianza kuomba since 2019 na hakuwai kuitwa hata sahili moja NGOs yoyote
Mpaka mwaka jana mwezi wa 3 ndio akaitwa kwenye NGOs moja kubwa saana ana mkataba wa miaka mitatu salary ya 3.4 milioni na malupulupu kadhaa
Sasa yupo anasimamisha nyumba za kupangisha kwa fujo kasulu
Anasema hataki TENA umasikini anajijengea misingi imara but she is single mother

