Dr. Mariposa
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 5,540
- 18,309
Wasamehe bure SweetyYes, wanaume hawa humu ni wapuuzi wanaona wanawake ni malaya wana weza kuwapunguzia upwiru sio wakuwaoa nakutulia nao.
Wasamehe bure SweetyYes, wanaume hawa humu ni wapuuzi wanaona wanawake ni malaya wana weza kuwapunguzia upwiru sio wakuwaoa nakutulia nao.
As men our foreskin go to the grave before we ever do.I still repeat
No Man will be buried uncircumcised, as long as I'm still working at the mortuary
Kama Madam rita amelipiwa mahari ya ng'ombe miambili mie nani kasupu kajana wewe kondoo wa lile group heshimu watu wazima kamtuu kanajiona kisa umenunua crownAnaye itaka ndoa Sasa 😂😅
View attachment 3393995
juzi si Jamaa hadi ali kimbia mazungumzo, Halafu bado uka endelea kumu uliza maswali 😂😂Mimi sina violence, ile ni accent ya New York City Watanzania wengi hamjaizoea tu 😂😂😂
So you'll be holding niggaz dicks on daily basis?I still repeat
No Man will be buried uncircumcised, as long as I'm still working at the mortuary
Weeee unasema kweli kuhusu madame Rita,,ila ana pesa yule shoga angu mie nawewe hatunaaa au ndo tujipe moyoKama Madam rita amelipiwa mahari ya ng'ombe miambili mie nani kasupu kajana wewe kondoo wa lile group heshimu watu wazima kamtuu kanajiona kisa umenunua crown
Majibu yako ya x ray yame tokaKama Madam rita amelipiwa mahari ya ng'ombe miambili mie nani kasupu kajana wewe kondoo wa lile group heshimu watu wazima kamtuu kanajiona kisa umenunua crown
who told yah I will be holding a gay dick?You be holding niggaz dicks on daily basis?
Yani maana yake yeye hana uamuzi wapi mazungumzo yaishe.juzi si Jamaa hadi ali kimbia mazungumzo, Halafu bado uka endelea kumu uliza maswali 😂😂
Mhhhh!!!Kuna wanawake wanajiona sana matawi nyuma ya hizi profile zetu wanatukana wanawake wenzao .
Huna haya kwanza wewe unanguvu sana zakuwaandama wenzako .
Nahuku wewe mwenye unashida huna hata marafiki ,ndugu wamekutelekeza .
MTu anaid za mia mbili kisa kujibu wenzake kunya nakuwasumbua.
Hao niwanawake .
Wanaume
Humu hakuna malaya na kama wapo ninyie mmewawekea hilo jina .
Jamani mkija PM sio sex mtu anawaza anatafuta mwanaume anayejiheshimu kama unaupwiru wako peleka kwa malaya wenzako .
Watu ni watu wazima na wanataka watu wenye akili sio malaya nakupotezeana muda .
Makundi
Kuna vimakundi vya kipuuzi kuna vizee ,watoto,vijana ,vimama na vihongwe komeni kuwatafuta watu humu kwa maana kila mtu anakuja kula good time.
JamiiForums sio yenu.fungueni yenu,
Msumbue watu tokea 2019 hadi 2025 hamjachokatu kufuatilia watu .
Hamjazeeka tu hadi msaahau JF .
Mnakera nyie ndio mnajuaga kila kitu cha humu cha nje cha wapi.
Mnawaona wengine hawajielewi nyie mnajielewa . Mnachosha .
Hebu heshimuni wenzenu na hakuna mtu mnamlisha hadi muone ni watu wakushushiwa heshima.
mkuu katika pambano mtu aki rusha taulo si kazi Kwisha?.Yani maana yake yeye hana uamuzi wapi mazungumzo yaishe.
Cheo hicho cha mmaliza mazungumzo hatujakubaliana ni chake 😂😂😂.
Khaah 😂 😂 😂 😂Majibu yako ya x ray yame toka
View attachment 3393997
Fungua PM tuyajenge mtoto mzuri..Yes, wanaume hawa humu ni wapuuzi wanaona wanawake ni malaya wana weza kuwapunguzia upwiru sio wakuwaoa nakutulia nao.
Mimi nitaanza kutafuta mwakani asee maisha ya kupika ugali mbichi nimechoka kumbe ugali ni mtamu tu mazee.Mwaka wa sita huu, nipo humu natafuta mke na sijapata
Tafuta mtu akusaidie kula mafao yakoMimi nitaanza kutafuta mwakani asee maisha ya kupika ugali mbichi nimechoka kumbe ugali ni mtamu tu mazee.
Kama Mama yangu alikula mafao ya mzee bila mchongo wowoteTafuta mtu akusaidie kula mafao yako