Naomba elimu kuhusu Website Hosting

ray57

Senior Member
Oct 29, 2013
102
45
Naitaji kufahamu Website hosting inaweza ghalimu kiasi gani cha pesa kwa mwaka?! Na nisaidie server zipi zipo vizuri katika kuhost site zikiwemo za Tanzania na za nje ya Tanzania.
 
Naitaji kufahamu Website hosting inaweza ghalimu kiasi gani cha pesa kwa mwaka?!
Na nisaidie server zipi zipo vizuri katika kuhost site zikiwemo za Tanzania na za nje ya Tanzania.

Tanzania bado hakuna webserver... wote wanao host hapa tanzania ni resellers (mawakala) .

Hosting ina range kwa wastani wa sh 50,000/- na kuendelea kwa mwaka.

Angalia link hizi.

technoclicktz.net
extremewebtechnologies.com
infocom.com
 
yatosha is the best in tanzania awe reseller au lah. na sidhani kama ni reseller maana bei zao ukiwa reseller sidhani kama anapata kitu. pengine wenyewe watujuze zaidi
 
Naitaji kufahamu Website hosting inaweza ghalimu kiasi gani cha pesa kwa mwaka?!

Inategemea sana, hakuna bei ya jumla, kila server ana bei zake. Kinacho-determine bei ni file size ya hiyo website yako na idadi ya watembeleaji utakaokuwa unapata (bandwidth).

Na nisaidie server zipi zipo vizuri katika kuhost site zikiwemo za Tanzania na za nje ya Tanzania.

Hosting companies walio wengi ni wazuri ila angalia vitu vifuatavyo; customer care yao ipoje hapa namaanisha urahisi wa kuwafikia na wao kukujibu haraka, pili namna ya malipo hivyo kama utampata anayekuruhusu ulipie kwa M-Pesa/Tigo Pesa huyo atakuwa mzuri zaidi hasa kama upo Tz

Kama kiingereza siyo shida sana kwako unaweza kujinunulia server yako mwenyewe.
 
yatosha is the best in tanzania awe reseller au lah. na sidhani kama ni reseller maana bei zao ukiwa reseller sidhani kama anapata kitu. pengine wenyewe watujuze zaidi

yap. ni reseller hapa bongo hakuna server..
 
Inategemea sana, hakuna bei ya jumla, kila server ana bei zake. Kinacho-determine bei ni file size ya hiyo website yako na idadi ya watembeleaji utakaokuwa unapata (bandwidth).

Hosting companies walio wengi ni wazuri ila angalia vitu vifuatavyo; customer care yao ipoje hapa namaanisha urahisi wa kuwafikia na wao kukujibu haraka, pili namna ya malipo hivyo kama utampata anayekuruhusu ulipie kwa M-Pesa/Tigo Pesa huyo atakuwa mzuri zaidi hasa kama upo Tz

Kama kiingereza siyo shida sana kwako unaweza kujinunulia server yako mwenyewe.

Pia kuwa makini kuna wengine wanacharge hosting kwa mwezi hao ndio watakao kufanya uone hosting ni bei rahisi kumbe ukifanya kwa mwaka inazidi wale wanao host kwa mwaka.
 
Fadhili Paulo,

Kuna swala la monthly bandwidth , hard disk space , idadi ya email accounts pamoja upatikanaji wa server bila kuwa down pia na webservice zingine ikiwemo securities and built in softwarr like fantastico deluxe etc.
 
Last edited by a moderator:
yap. ni reseller hapa bongo hakuna server..

Mollel, Kutokuwa na Hosting servers hakufanyi kila Webhost kuwa reseller, We lease servers/virtual servers kubwa, and that's different from reseller hosting ambayo mickey.T alimaanisha.n Chini ni screenshots tu zinazoonesha maeneo ambayo kama reseller huwezi kuwa na access nayo.

cPanel backend -
Screenshot_3.png

Plesk Backend
Screenshot_6.png


yatosha is the best in tanzania awe reseller au lah. na sidhani kama ni reseller maana bei zao ukiwa reseller sidhani kama anapata kitu. pengine wenyewe watujuze zaidi

Ahsante kwa kuwa na Imani nasi. I appreciate It
 

Attachments

  • Screenshot_3.png
    Screenshot_3.png
    33 KB · Views: 80
  • Screenshot_5.png
    Screenshot_5.png
    32.9 KB · Views: 83
si lazina kuwe na server hapa bongo unaweza ship server zako kwa data center popote pale ili wakuwekee (colocation)
hata vodacom wanatoa huduma hiyo ya server colocation ila sijui gharama zao
 
Tanzania bado hakuna webserver... wote wanao host hapa tanzania ni resellers (mawakala) .

Hosting ina range kwa wastani wa sh 50,000/- na kuendelea kwa mwaka.

Angalia link hizi.

technoclicktz.net
extremewebtechnologies.com
infocom.com

Hapo unakosea mkuu, kuna watu wana server na wanazi manage hapa hapa Tanzania. Check out kampuni inaitwa IT Farm

Tusipende kujidhalilisha bila kufanya research ndio maana IT haithaminiwi sababu sisi wenyewe hatujithamini
 
Hapo unakosea mkuu, kuna watu wana server na wanazi manage hapa hapa Tanzania. Check out kampuni inaitwa IT Farm

Tusipende kujidhalilisha bila kufanya research ndio maana IT haithaminiwi sababu sisi wenyewe hatujithamini

Usemalo ni kweli, kuna baandi ya makampuni hutumia main server iliyohosted Tanzania lakini clients sites huwa hosted katika datacenter za Nje.

Ila tatizo kubwa nionalo ni bei ya Internet kwa Tanzania kuwa juu sana, na kubwa zaidi kwa jamaa zetu wa umeme.
 
Hapo unakosea mkuu, kuna watu wana server na wanazi manage hapa hapa Tanzania. Check out kampuni inaitwa IT Farm

Tusipende kujidhalilisha bila kufanya research ndio maana IT haithaminiwi sababu sisi wenyewe hatujithamini

unazungumzia uzalendo au ufanisi?

kama ni uzalendo kumpa support mtanzania mwenzetu hata kama anafanya vibaya upo sahihi ila kama ni ufanisi jamaa yupo sahihi

mtanzania akiwa na dedicated server ulaya/marekani haina tofauti na kununua mwenyewe webhosting huko.

server ikiwa tanzania speed inaongezeka maradufu sababu data zinakuwa karibu na mtu. imagine wewe upo dar, server ipo dar, watumiaji wengi wapo dar, internet yenye speed pamoja na server za kisasa, website ya aina hii itafunguka very fast tofauti na website ambayo ipo hosted marekani
 
kuhusu virtual server hiyo ni sawa tena kampuni nyingi wanazo.

kwa hapa bongo... file server zipo nyingi , email server zipo nyingi, application server zipo nyingi.. lakini WEB SERVER labda zile za personal ambazo sio za kibiashara.

unapozungumzia virtual server hii sio real server its ideal server . server ambayo sio physical sio tangible. Na kama unayo virtual server iliyopo i.e israel basi wewe umehost israel na huyu mwenye hiyo virtual server amepewa access ya sehemu ya ile server na pia kuna wengine pia wamepewa sehemu ya access ya server hiyo.
 
Fadhili Paulo,

Kuna swala la monthly bandwidth , hard disk space , idadi ya email accounts pamoja upatikanaji wa server bila kuwa down pia na webservice zingine ikiwemo securities and built in softwarr like fantastico deluxe etc.

mkuu ingia hapa www.one.com lipia kwa njia ya paypal usihangaike na wabongo wanasumbua.
 
Last edited by a moderator:
kuhusu virtual server hiyo ni sawa tena kampuni nyingi wanazo.

kwa hapa bongo... file server zipo nyingi , email server zipo nyingi, application server zipo nyingi.. lakini WEB SERVER labda zile za personal ambazo sio za kibiashara.

unapozungumzia virtual server hii sio real server its ideal server . server ambayo sio physical sio tangible. Na kama unayo virtual server iliyopo i.e israel basi wewe umehost israel na huyu mwenye hiyo virtual server amepewa access ya sehemu ya ile server na pia kuna wengine pia wamepewa sehemu ya access ya server hiyo.

Ni sahihi, lakini kunatofauti ya kununua virtual server kutoka kwa Kampuni ndogo inayofanya server leasing, na Direct kutoka kwa Datacenter. Sisi tunatumia Liquidweb, Quadranet kwa website za wateja, 1 with dedicated another with VPS. Ni rahisi sana kudela direct na datacenter kwenye situations zinazohitaji physical server modifications kama kuongeza RAM e.t.c.

Na kuhusu web server za kibiashara zipo ndugu, Kampuni moja ambayo najua wanafanya vizuri japo wanagharama na sijui in-terms of Uptime wapoje ni moja tu na ipo Arusha na mwanza, jina nisingependa kuitaja.
 
Back
Top Bottom