Naomba elimu kuhusu Nokia lumia

Naomba elimu kuhusu Nokia lumia

Hiyo Lumia 1020 inatoka lini Jamani?

Imetoka usiku huu wa leo, kwakweli hiyo technology nokia waliyoweka kwenye camera wanastahili sifa improved image stabilization, manual focus. Unapiga distance picture katika high pixel then unaweza create different individual pictures za mpaka 3mp from picha hiyo moja. Ina mambo mengi sana hiyo camera nadhani chief mkwawa ataeleza zaidi
 
Duh kazi kweli ipo yaani hapa hata sijui niende wapi
 
Nimezifuatila sana hizi simu za Nokia Lumia za WP 8 kwa kweli nimekuwa impressed sana na nataka kubadilika kutoka Android kwenda Windows phone 8.

Naomba ushauri kati ya Lumia 720 na Lumia 820 niende wapi?? Hapa kichwa inauma.... Mwenye kuzijua vizuri hizi simu anishauri. Matumizi yangu ni moderate sio makubwa sana na sio madogo.

Ushauri tafadhali kwa wataalam!!
 
Nimezifuatila sana hizi simu za Nokia Lumia za WP 8 kwa kweli nimekuwa impressed sana na nataka kubadilika kutoka Android kwenda Windows phone 8.

Naomba ushauri kati ya Lumia 720 na Lumia 820 niende wapi?? Hapa kichwa inauma.... Mwenye kuzijua vizuri hizi simu anishauri. Matumizi yangu ni moderate sio makubwa sana na sio madogo.

Ushauri tafadhali kwa wataalam!!

mkuu kama wewe ni mtu wa fb social network kwa sana hutaki apps nyingi lumia 720 nunua sababu hizi
-inakaa sana na chaji
-ndio ina best design kuliko lumia zote
-ina camera nzuri kuliko 820

kama ni power user unapenda games, apps 820 ni yako sababu ni hizi
-ina processor na ram kubwa (1.5ghz dualcore na ram 1gb)
-macover yake yanatoka kirahisi
 
Hii nokia lumia 1020 ni balaa,
RAM-2GB,CAMERA 41MP,32GB INTERNAL STORAGE WITH NO CARD SLOT,WIRELESS CHARGING e.t.c

Nimejaribu ku-google nikakumbana na Lumia 1080, vipi hii nayo kweli ipo au ni maonjo ya umahiri wa search engine ya google tu? Tafadhali naomba kujuzwa, I really need a very lattest Lumia/Nokia cellphone!
 
Nimejaribu ku-google nikakumbana na Lumia 1080, vipi hii nayo kweli ipo au ni maonjo ya umahiri wa search engine ya google tu? Tafadhali naomba kujuzwa, I really need a very lattest Lumia/Nokia cellphone!

hayo manjonjo mkuu. now kuna 1020 ambayo ni cameraphone inunue kama unapenda camera ila kwa simu latest yenye muonekano mzuri ni lumia 925
 
Imetoka usiku huu wa leo, kwakweli hiyo technology nokia waliyoweka kwenye camera wanastahili sifa improved image stabilization, manual focus. Unapiga distance picture katika high pixel then unaweza create different individual pictures za mpaka 3mp from picha hiyo moja. Ina mambo mengi sana hiyo camera nadhani chief mkwawa ataeleza zaidi

Hizi simu jamani zinatia watu umasikini.
 
mkuu kama wewe ni mtu wa fb social network kwa sana hutaki apps nyingi lumia 720 nunua sababu hizi
-inakaa sana na chaji
-ndio ina best design kuliko lumia zote
-ina camera nzuri kuliko 820

kama ni power user unapenda games, apps 820 ni yako sababu ni hizi
-ina processor na ram kubwa (1.5ghz dualcore na ram 1gb)
-macover yake yanatoka kirahisi

Mkuu hii lumia 720 inaweza kuwa bei gani kwenye maduka yetu ya bongo?
 
Mkuu hiyo nokia 1020 ni bei gani? Nataka kubadili simu kwa sasa natamani Sony au Nokia. Naomba ushauri wako. Napenda sana ma app na camera

kaka sikushauri lumia 1020 kwa sasa sababu huenda muda si mrefu akatoka mkubwa wake 1030 hivyo ukatoa hela nyingi then ukajuta. pia processor yake ni ya 2012 imeanza kuchuja kuna baadhi ya vitu vitakuwa slow.

kwa sony kuna xperia z3 compact kama unataka kununua simu nairecomend sana hii, hata bei yako ni ndogo kidogo kucompare na flagship nyengine.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom