Je! Macbook itanifaa?

ismail hassan

JF-Expert Member
Jul 16, 2017
685
1,612
Habari zenu wakuu.

Nimekuwa nikizitamani sana hizi PC.

Nimekuwa nikitamani kuhamia huku mazima niachane na mambo ya HP.

Shida ni kwamba sijawahi kuitumia kabisa.
Je! Haitiniletea shida? Kuhusu kuhamisha files maana baadhi ya watu naona wakiiponda.

Wengine wakisema kwamba kuna baadhi ya program lazma ulipie mfano wa program za Microsoft word, excel, access, publisher na power point.

Mimi nitakuwa bize nayo hasa kwenye hizo program na movies kidogo, na baadhi ya program za accounting package kama QuickBook, Tally, MUSE na TANePS.

Je! Macbook itanifaa?

Kitu kingine ni budget yangu naona haitozidi 1 mill.

Nataka kuchukua refurbished hata nikipata macBook air sio mbaya. Na je! Ni ya mwaka gani itakuwa bora kwangu kulingana na matumizi yangu? Mana naona mitandaoni zipo za kuanzia 2011.
Naombeni ushauri wakuu.

Natanguliza shukrani.
 
Mkuu, kunautofauti sana kati ya MacBook na iPhone. MacBook haiboi kama iPhone, na ukiwa nayo utainjoy sana kwa vitu vingi.

Hizo programm unazosema zote utaweza kuzitumia for free, Iko faster (kutegemeana na specs zake), slim, sio nzito, muonekano mzuri n.k
 
Kuhusu kuhamisha files utatumia Android File transfer, hapo utaconnect simu ya aina yoyote through USB. Pia unaweza hamisha data kwa Bluetooth. Yani kwa ufupi utaenjoy, hazina shida
 
Habari zenu wakuu.

Nimekuwa nikizitamani sana hizi PC.

Nimekuwa nikitamani kuhamia huku mazima niachane na mamboya HP.

Shida ni kwamba sijawahi kuitumia kabisa.
Je! Haitiniletea shida? Kuhusu kuhamisha files mana baadhi ya watu naona wakiiponda. Wengine wakisema kwamba kuna baadhi ya program lazma ulipie mfano wa program za Microsoft word,excel, access, publisher na power point.

Mimi nitakuwa bize nayo hasa kwenye hizo program na movies kidogo, na baadhi ya program za accounting package kama QuickBook, Tally, MUSE na TANePS.

Je! Macbook itanifaa?

Kitu kingine ni budget yangu naona haitozidi 1 mill.

Nataka kuchkuwa refurbished hata nikipata macBook air sio mbaya. Na je! Ni ya mwaka gani itakuwa bora kwangu kulingana na matumizi yangu? Mana naona mitandaoni zipo za kuanzia 2011.
Naombeni ushauri wakuu.

Natanguliza shukrani.
Kuna jamaa yangu anayo MacBook Air ya 2012 anauza bei nzr tu, kama unahitaji njoo PM nikuunge nae
 
Mkuu, kunautofauti sana kati ya MacBook na iPhone. MacBook haiboi kama iPhone, na ukiwa nayo utainjoy sana kwa vitu vingi.

Hizo programm unazosema zote utaweza kuzitumia for free, Iko faster (kutegemeana na specs zake), slim, sio nzito, muonekano mzuri n.k

Mkuu, Shukraan sana. Ngoja nikachukue.
Na vipi kuhusu hizi ninazoziona za 2011,2012,mpaka 15 zitakuwa na mashiko?
 
Habari zenu wakuu.

Nimekuwa nikizitamani sana hizi PC.

Nimekuwa nikitamani kuhamia huku mazima niachane na mamboya HP.

Shida ni kwamba sijawahi kuitumia kabisa.
Je! Haitiniletea shida? Kuhusu kuhamisha files mana baadhi ya watu naona wakiiponda. Wengine wakisema kwamba kuna baadhi ya program lazma ulipie mfano wa program za Microsoft word,excel, access, publisher na power point.

Mimi nitakuwa bize nayo hasa kwenye hizo program na movies kidogo, na baadhi ya program za accounting package kama QuickBook, Tally, MUSE na TANePS.

Je! Macbook itanifaa?

Kitu kingine ni budget yangu naona haitozidi 1 mill.

Nataka kuchkuwa refurbished hata nikipata macBook air sio mbaya. Na je! Ni ya mwaka gani itakuwa bora kwangu kulingana na matumizi yangu? Mana naona mitandaoni zipo za kuanzia 2011.
Naombeni ushauri wakuu.

Natanguliza shukrani.
Unless hio Mac yako unaipiga windows itakusumbua, mfano Tally ni program ya window ili urun kwenye mac inabidi ufanye virtualization ambayo itapunguza sana perfomance,
 
Mkuu, Shukraan sana. Ngoja nikachukue.
Na vipi kuhusu hizi ninazoziona za 2011,2012,mpaka 15 zitakuwa na mashiko?
Huo mwaka unamaanisha toleo la kwanza la hiyo series lilianza mwaka huo, na sio kwamba zote zilitoka mwaka huo, zipo ambazo zimetengenezwa last year lakini series hiyo. Mfano Mimi natumai A1706 with touch bar series ya 2016, naipenda sana hii laptop, ni very portable and fast.

Wewe cha kufanya angalia bajet yako na matumizi Yako, hivyo vitadetermine uchukue ipi. MacBook ni user friendly, ukizoea kuitumia, zile PC nyeusi utaziona mzigo. Binafsi Mac ndo chaguo langu la kwanza na la pili
 
Huo mwaka unamaanisha toleo la kwanza la hiyo series lilianza mwaka huo, na sio kwamba zote zilitoka mwaka huo, zipo ambazo zimetengenezwa last year lakini series hiyo. Mfano Mimi natumai A1706 with touch bar series ya 2016, nakupenda sana hii laptop, ni very portable and fast.

Wewe cha kufanya angalia bajet yako na matumizi Yako, hivyo vitadetermine uchukue ipi. MacBook ni user friendly, ukizoea kuitumia, zile PC nyeusi utaziona mzigo. Binafsi Mac ndo chaguo langu la kwanza na la pili
Huwa wanasema ni nzuri sana kwa creative activities kama writing & content creation hapo unasemaje?
 
Huo mwaka unamaanisha toleo la kwanza la hiyo series lilianza mwaka huo, na sio kwamba zote zilitoka mwaka huo, zipo ambazo zimetengenezwa last year lakini series hiyo. Mfano Mimi natumai A1706 with touch bar series ya 2016, nakupenda sana hii laptop, ni very portable and fast.

Wewe cha kufanya angalia bajet yako na matumizi Yako, hivyo vitadetermine uchukue ipi. MacBook ni user friendly, ukizoea kuitumia, zile PC nyeusi utaziona mzigo. Binafsi Mac ndo chaguo langu la kwanza na la pili

Ushauri sahihi kabisa, OP chukua hii.
 
Habari zenu wakuu.

Nimekuwa nikizitamani sana hizi PC.

Nimekuwa nikitamani kuhamia huku mazima niachane na mamboya HP.

Shida ni kwamba sijawahi kuitumia kabisa.
Je! Haitiniletea shida? Kuhusu kuhamisha files mana baadhi ya watu naona wakiiponda. Wengine wakisema kwamba kuna baadhi ya program lazma ulipie mfano wa program za Microsoft word,excel, access, publisher na power point.

Mimi nitakuwa bize nayo hasa kwenye hizo program na movies kidogo, na baadhi ya program za accounting package kama QuickBook, Tally, MUSE na TANePS.

Je! Macbook itanifaa?

Kitu kingine ni budget yangu naona haitozidi 1 mill.

Nataka kuchkuwa refurbished hata nikipata macBook air sio mbaya. Na je! Ni ya mwaka gani itakuwa bora kwangu kulingana na matumizi yangu? Mana naona mitandaoni zipo za kuanzia 2011.
Naombeni ushauri wakuu.

Natanguliza shukrani.
Kwanza, MacBook sio PC ni MacBook/Mac.


Pili, Ms Access huwezi kutumia wa MacBook labda uweke window.

Tatu, ni computer nzuri sana, japo mwanzoni itakuboa kiaina hasa ukikutana na restrictions ambazo mwanzo ulikua una tiririka tu, pia navigation tofauti kabisa. Ila ukiizoea hutataka kuhama kabisa.


Honestly, I fell in love with MacBook (japo natumia techno).
 
Kwanza, MacBook sio PC ni MacBook/Mac.


Pili, Ms Access huwezi kutumia wa MacBook labda uweke window.

Tatu, ni computer nzuri sana, japo mwanzoni itakuboa kiaina hasa ukikutana na restrictions ambazo mwanzo ulikua una tiririka tu, pia navigation tofauti kabisa. Ila ukiizoea hutataka kuhama kabisa.


Honestly, I fell in love with MacBook (japo natumia techno).
Kwanini MacBook sio PC?

PC (Personal Computer)
Laptops na Desktops zote ni Pc

Macbook ni laptop na laptop ni Pc😂

Watu wengi hizi terminology zinawachanganya.

Kuna watu wanadhani PC ni computer mpakato tu.

Kuna watu wanadhani PC ni computer zinazotumia windows OS tu.

PC (personal computer) - Ni aina ya kundi la computer zilizotengenezwa mahususi kwa matumizi ya watu wa kawaida, isiyohitaji utaalam maalum kuiendesha.

Kuna super computers na aina nyingine tofauti ambazo zina ngazi maalum ya utumizi na zinahitaji utaalam maalum, hivyo aina kama hizi hatuwezi kuziita PC.

Nimeandika kwa urefu kuwafungua macho na wengine waliochangwanywa na majina hayo👍
 
Huo mwaka unamaanisha toleo la kwanza la hiyo series lilianza mwaka huo, na sio kwamba zote zilitoka mwaka huo, zipo ambazo zimetengenezwa last year lakini series hiyo. Mfano Mimi natumai A1706 with touch bar series ya 2016, nakupenda sana hii laptop, ni very portable and fast.

Wewe cha kufanya angalia bajet yako na matumizi Yako, hivyo vitadetermine uchukue ipi. MacBook ni user friendly, ukizoea kuitumia, zile PC nyeusi utaziona mzigo. Binafsi Mac ndo chaguo langu la kwanza na la pili

Shukran sana mkuu
 
Back
Top Bottom