Naomba chadema tuwe na usemi huu!

KakaKiiza

JF-Expert Member
Feb 16, 2010
11,578
8,600
Ndugu wana CHADEMA nashauri Salamu ya CHADEMA iwe hivi,"PEOPLE POWER"kiitikio kiwe "MOVEMENT FOR CHANGE"je wewe unaonaje? Toa wazo.
 
Nadhani hii ni nzuri mpaka 2015 kwa sababu wakishachukua nchi inaweza kuwarudi.
 
Niwazo zuri, Ila kingepatikana na kibwagizo cha Kiswahili ingeonyesha uhalisia hasa unaosemwa na sasa unatekelezwa wa kuwa sasa CHADEMA ni chama cha watanzania wote. Naandika hivi kwa sababu tutake tusitake Lugha hii ya Kigeni inayotumika kwa sasa katika vibwagizo vya CHADEMA kwa baadhi ya watanzania inaonekana kuwa ni ya kikoloni na sidhani kama kuna mtanzania ambaye anataka kuhusisha uongozi wa nchi hii na alama za kikoloni. Ni Mtizamo tu.
 
Back
Top Bottom