Niwazo zuri, Ila kingepatikana na kibwagizo cha Kiswahili ingeonyesha uhalisia hasa unaosemwa na sasa unatekelezwa wa kuwa sasa CHADEMA ni chama cha watanzania wote. Naandika hivi kwa sababu tutake tusitake Lugha hii ya Kigeni inayotumika kwa sasa katika vibwagizo vya CHADEMA kwa baadhi ya watanzania inaonekana kuwa ni ya kikoloni na sidhani kama kuna mtanzania ambaye anataka kuhusisha uongozi wa nchi hii na alama za kikoloni. Ni Mtizamo tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.