Tyta
JF-Expert Member
- May 21, 2011
- 12,767
- 10,536
dah kupima yataka moyo! mimi najiamini sina ila sijawahi kupata ujasiri wa kwenda kupima!
Unachoogopa ni nini?
..
dah kupima yataka moyo! mimi najiamini sina ila sijawahi kupata ujasiri wa kwenda kupima!
Na mumeo je?
najiamini coz najua njia zinazosambaza ukimwi na sijawahi kushiriki hata moja!
Kujiamini na kuogopa vinaambatanaje...?
Unachoogopa ni nini?
..
weweee sina mume mie
Noted..huna mume na pm zangu hujibu..mambo ya kuchezea fursa haya
Na mumeo je?
ndo sielewi hapo woga umenijaa tu
hata sijui ni nini ati!
Hold unto thy faith..you shall fear none..
chukua ujasiri wangu
pokea
Meaning... she's a virgin lol
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Labda Chinese virgin
Noted..huna mume na pm zangu hujibu..mambo ya kuchezea fursa haya
Mmmmmmnh..... Mzee wa PM..!!
why unasema ivo? origional uliitoa wewe nini?