Naogopa sana kupima UKIMWI!

Naogopa sana kupima UKIMWI!

Habari wapendwa,

Ebu nipeni ujasiri jamani! Yaani naogopa vibaya mno kwenda "ANGAZA"...
Usiogope, kupima na kujua afya yako ni jambo zuri na utaishi kwa amani/ au utaanza dawa muda ukifika na maisha yataendelea ,,,,,,,pse go go go and you will never regret
 
kwani wewe umepitia michepuko yenye miiba mikali? kama ndivyo, usijali pia, nenda kapime, VVU haviambukizwi kirahisi kama unavyozani, ila kujua afya yako ni bora zaidi, upo mkoa gani? nikupe kipimo ujipime mwenyewe?
 
kwani mtoa thread uko wapi!?.....kama uko dar njoo tujiunge huku tukifarjiana mpaka tukapime, maana nami kila nikifikiria ishu ya HIV chakula hakipiti koon!

Hahhhhahhhhhahhha duu na badoo koo lilipata maumivuu hebu mkapimeee hukooo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom