Naogopa sana kupima UKIMWI!

Naogopa sana kupima UKIMWI!

Mimi nakushauri nenda kapime alafu majibu waambie wakutumie kwanjia sms alafu wape namba ya simu feki

Hahhhha wee kupima ni vizuri ukijijua unakua unajiamini pia unathamini mwili wako na utaepuka mengiii mwachee
 
Kupima ni kipaji, ni sawa na beki aende kupiga penati ya mwisho ya kuamua kuchukua kombe la dunia
 
Jipime mwenyewe ni pm nkupe unigold moja ujipime.
 
mkuu ukimwi sasa sio wa kuuogopa
we kapime ,kama unao haraka sana mtaarifu dokta wangu MziziMkavu akupe dawa
 
Last edited by a moderator:
Kapime coz hata ukiogopa bado sio suluhu.Suluhu ni kupima,natamani ungekuwa na moyo kama wa kwangu
 
Habari wapendwa,

Ebu nipeni ujasiri jamani! Yaani naogopa vibaya mno kwenda "ANGAZA"
Nikiwaza kwenda huko tu tumbo linauma naahirisha siendi tena!
Tatizo gani hili nishaurini basi namna ya kumshinda huyu Shetani Jamani...

Ogopa kupata UKIMWI kama unavyoogopa kupima UKIMWI.

Yaani ukiwa katika situation ya kupata UKIMWI, fikiria process ya kwenda kupima na kihoro chake, na ukiupata jinsi utakavyoteseka etc.

Cc King'asti Kongosho
 
Last edited by a moderator:
Jipe ujasiri ukapime binafsi niliishi kwa miaka 10 nikiamini niko victim wa HIV until late wakati wa kuoa utaratibu unalazmisha kupima so i went for a test nikaonekana negative nikaenda hospitali nyingine baada ya mudaa kiasi nako negative.

Na dr aliyenipima alitoa ushukuda kama huu kuwa nae aliishi 3years akiamini is victim lakini alipata ujasiri akapima akakuta ni mzima.
So ukipima huenda huna mkuu utaishi maisha ya tahadhari sana huwez kuchepuka hata chembe. Kapime jipe ujasiri.
 
Kama unaogopa watu wanapma online bure mambo ya technology hayo. Visit www.freehivonlinetest.com ujionee maajabu
ahsante kwa kushiriki,.,(jokes).

hata mm naogopa km vp twende wote alaf kla mtu aschukue majbu yake achukue ya mwenzie ala tutatumiana kwenye text kla mtu akfka kwake.coz knachoogopesha majbu.
 
siri katika kupima ni hii

kupima sio ishu ishu ni kuchukua majibu, lakin hakuna maisha yenye amani kama baada ya kuchukua majibu manake utajua uishi vipi kwa matumain iwapo umeathirika lkn pia kama hujaathirika basi utajua uendelee kujitunza vipi.
 
af mtoa mada mboa HIV sio ishu tena??

manake utaish kwa mashudu na utagonga menu kama kawa na libido iko kama ndo balehe ya kwanza, sasa njoo kwenye magonjwa kama sukari afya inayumba sana, kula kwa masharti mara usile hiki na vyote vitam huli.

Libido ndo kwishney na kama ni mama basi ujue wewe pant liner hazikufai ni mwendo wa pedi period manake utatokwa maji ukeni yenye kunata kwasababu yananoga sukari hadi ujichukie. muda mwingine unalowana kama vile umejikojolea kumbe kumbe ni vaginal fluid inakazana kutoka.

so fear not HIV
 
Jipe ujasiri ukapime binafsi niliishi kwa miaka 10 nikiamini niko victim wa HIV until late wakati wa kuoa utaratibu unalazmisha kupima so i went for a test nikaonekana negative nikaenda hospitali nyingine baada ya mudaa kiasi nako negative...
Mkuu unanipa faraja na mimi ningoje tumiaka twa mbeleni angalau tutatu nikapime ukimwi!
 
kwani mtoa thread uko wapi!?.....kama uko dar njoo tujiunge huku tukifarjiana mpaka tukapime, maana nami kila nikifikiria ishu ya HIV chakula hakipiti koon!
 
Ishu sio kupima tu na kuchukua majibu ila ni kubadili tabia baada ya kupima mzee. Unajua watu unapima leo negative then unarudi kwenye ngono zembe. So this nothing umearibu bure vifaa vya hospital
 
Hahahaha!! Rafiki yangu alimudu kwenda kupima, lkn majibu aliwaachia wapimaji, alipoambiwa asubiri nje yeye akala kona.
Hahahahaha huyo kiboko!

Ameungana na wajasiriamali wengi wenye tabia hiyo.
 
Kama unaogopa kupima ina maana wewe ni peku peku na kuna mtu ulisha duu naye ukaskia tetes ana moto ss jitoe kimasomaso uende ukajue
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom