Naogopa kuolewa...

Naogopa kuolewa...

Bora usiolewe kuliko uolewe na kumtesa mumeo kwa kuenda kwenu kila siku. Kuna mhandisi mmoja mkewe anaendaga wknd kusalimia wazazi. Akifika tu next day anaumwa wiki 3. Na hajawahi kwenda kusalimia kwao asikae 3 wks to a few months.
 
(**nikikaa nikifikiria swala la kuolewa huwa nakosa raha..nawaza kuwaacha wazazi wangu...mimi ni mtoto wa mwisho..na nyumbani tumebaki mimi., baba na mama...wengine woote washaoa na kuolewa.nawaza ntawaacha pekee...ntakimiss chumba changu n all the good things about home...my dad n mum treats me like a little child...while am a big girl working...26 yrs old.kazi zoote naweza meaning I can take care of others n myself coz kwa suala la kufanya kazi za nyumbani mama haendekezi ujinga...okey huu ndo umri wa kuolewa na nina boyfriend tunapendana and he fits to be my husband. .na yy anaona m the perfect wife material for him...tuko pamoja tangu chuo....hofu inakuja kuondoka kwetu na kwenda kuishi na mtoto wa mwanamke mwingine..aliyelelewa kwa malezi wanayoyajua wao....kazi itakuja pale atakapoonyesha true colours ndani ya ndoa...muda si mrefu atataka kupropose as nnaona dalili na ananipenda mnoo AS ameacha kazi mkoani na kuamua kuja kufanya kazi mkoa ninao ishi mimi ...my sistas wananiuliza unaolewa lini wewe..coz nna kazi nzuri.....nishaurini mwenzenu..wenzangu mlio ndoani...*****)MANENO YA BIDADA CLASSMATE WANGU

Nafikiri muda wako wa kuolewa haujafika au pengine hauko tayari kuoelewa kwa sasa. Jipe muda, yatatokea automatic.
 
Sasa utakaa kwa wazazi mpaka lini?

Sent from BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Endelea Kuogopa Kwanza Ili Uzeeke. Then Utaona Raha Ya Kuolewa Ukiwa Mzee
 
....hujui maana ya ndoa na maana ya wazazi, you need to grow up kwanza. Mind you kukua sio umri tu,ni pamoja na akili....
 
GUYS ME NI MALE....sio muhusika
 
Endelea kukaa nyumbani mwaya, we bado mdogo sana miaka 26! Ongeza mingine 20 hivi ukifikisha 46 utakuwa umekomaa vya kutosha kuikabili mikikimikiki ya ndoa.
 
olewa wewe upate dushelele la halali!!wazazi wako wenyewe waliacha kwao,itakuwa ww?wewe sio wakwanza kitinda mimba kuolewa
 
Utoto unakusumbua dada,kwa mwanamke nyumbani ni kwa mmewe ondoka ukaanzishe mji wako na ww uwe na familia yako ..right?
 
Hivi kwamfano ukiamishwa kikazi nje ya mkoa uliopo utaacha kazi ili ubaki na wazazi?

Kama mmelidhiana na huyo mchumba wako, oaneni tu, mwanzo utakuwa mgumu ila utakuja kuzoea tu, hakuna mtu asiyependa kwao.
Lady doctor umenena kweli,
hakuna haja ya ku complicate mambo......,
ndoa ina raha yake aingie ye mwenyewe atashangaa alikuwa wapi siku zote
 
Last edited by a moderator:
kuolewa ni hisia, amua mwenyewe, ukubwa wote huo unaogopa kuolewa? nenda tu kule ni kulala na nguo uliyozaliwa nayo tu.
 
(**nikikaa nikifikiria swala la kuolewa huwa nakosa raha..nawaza kuwaacha wazazi wangu...mimi ni mtoto wa mwisho..na nyumbani tumebaki mimi., baba na mama...wengine woote washaoa na kuolewa.nawaza ntawaacha pekee...ntakimiss chumba changu n all the good things about home...my dad n mum treats me like a little child...while am a big girl working...26 yrs old.kazi zoote naweza meaning I can take care of others n myself coz kwa suala la kufanya kazi za nyumbani mama haendekezi ujinga...okey huu ndo umri wa kuolewa na nina boyfriend tunapendana and he fits to be my husband. .na yy anaona m the perfect wife material for him...tuko pamoja tangu chuo....hofu inakuja kuondoka kwetu na kwenda kuishi na mtoto wa mwanamke mwingine..aliyelelewa kwa malezi wanayoyajua wao....kazi itakuja pale atakapoonyesha true colours ndani ya ndoa...muda si mrefu atataka kupropose as nnaona dalili na ananipenda mnoo AS ameacha kazi mkoani na kuamua kuja kufanya kazi mkoa ninao ishi mimi ...my sistas wananiuliza unaolewa lini wewe..coz nna kazi nzuri.....nishaurini mwenzenu..wenzangu mlio ndoani...*****)MANENO YA BIDADA CLASSMATE WANGU
Rafiki yako ni mtoto tu, akikua ataacha na kuitafuta mwenyewe dushelele. Pindi akilipata atahamia huko huko bila ya kushauriwa na mtu.
 
Tofali linataka kujenga nyumba but halitaki tofali jingine!
 
Back
Top Bottom