Naogopa kumueleza Mke wangu ukweli kwamba nilichepuka

Habari Wana Jf wenzangu

Kuna jambo limenikuta Jana, wakati wa mida saa 4 napita kutokea kwenye mishe zangu pembezoni mwa bar moja hivi maarufu hapa Dar nikaitwa na rafiki mmoja hivi wa kike ambaye sikuonana nae muda kidogo nikaenda tukaa pale.

Binafsi sio mnywaji wa pombe tofauti na huyo dada yeye anapenda tukapiga story kazaa baada ya pale sikumbuki kilichoendelea nimejikuta nipo ghetto la huyo dada wakati nimemka leo asubuhi Tena nikiwa nipo uchi hata huyo dada hivyo hivyo.

Kwa mazingira hayo nivyoyaona sikutaka hata nimuulize je tumefanya mapenzi maana sikumbuki chochote kikichotokea kwanini nimekuwa na wasiwasi huyu demu mafaili yake nayajua ana list ndefu Sana na ameshawahi kudate na wasanii wawili maarufu wa hapa Bongo ambao wanajulikana kabisa kwakugonga Sana mademu.

Ukiachana na Hilo me nina mtu wangu ambaye ninaishi nae kama mke na Mume ninampenda Sana, ananiheshimu na mimi namuheshimu,ni mtu muhimu Sana kwenye maisha yangu yeye ni kama kiungo kwenye chakula.

Sijawahi kuchepuka wala sijawahi kufikiria hicho kitu kwa namna navyompenda mtu wangu nimeamka nimekuta missed call 4 zake kwenye simu yangu.

Ndugu zangu ninashindwa sijui nitamuambiaje mtu wangu na je nikimwambia ukweli ulivyo atanielewa kwa sababu binafsi sijadhamiria kufanya hivyo na sijui kilitokea kitu gani kikatokea hicho kitu.Naombeni ushauri wenu ndugu zangu nimwambie nini mke wangu anielewe.

to yeye
Zero IQ
Yna2
financial services
Darmian
Mzigua90
Carleen
Joanah
Amehlo
DeepPond
Watu8
joseph1989
Numbisa
Shunie
Usher-smith MD
Bujibuji Simba Nyanaume
Saint Anne

NB: Naomba tusiweke masiala kwenye issue sensitive kama unataka kufanya hivyo Bora tu usicomment kabisa kwenye uzi wangu nipo serious
Sasa jambo kubwa kama hili linakutokea na hujijui, yatakutokea mangapi ya aina hii na hutajua kilichopelekea? Jitambue!
 
Habari Wana Jf wenzangu

Kuna jambo limenikuta Jana, wakati wa mida saa 4 napita kutokea kwenye mishe zangu pembezoni mwa bar moja hivi maarufu hapa Dar nikaitwa na rafiki mmoja hivi wa kike ambaye sikuonana nae muda kidogo nikaenda tukaa pale.

Binafsi sio mnywaji wa pombe tofauti na huyo dada yeye anapenda tukapiga story kazaa baada ya pale sikumbuki kilichoendelea nimejikuta nipo ghetto la huyo dada wakati nimemka leo asubuhi Tena nikiwa nipo uchi hata huyo dada hivyo hivyo.

Kwa mazingira hayo nivyoyaona sikutaka hata nimuulize je tumefanya mapenzi maana sikumbuki chochote kikichotokea kwanini nimekuwa na wasiwasi huyu demu mafaili yake nayajua ana list ndefu Sana na ameshawahi kudate na wasanii wawili maarufu wa hapa Bongo ambao wanajulikana kabisa kwakugonga Sana mademu.

Ukiachana na Hilo me nina mtu wangu ambaye ninaishi nae kama mke na Mume ninampenda Sana, ananiheshimu na mimi namuheshimu,ni mtu muhimu Sana kwenye maisha yangu yeye ni kama kiungo kwenye chakula.

Sijawahi kuchepuka wala sijawahi kufikiria hicho kitu kwa namna navyompenda mtu wangu nimeamka nimekuta missed call 4 zake kwenye simu yangu.

Ndugu zangu ninashindwa sijui nitamuambiaje mtu wangu na je nikimwambia ukweli ulivyo atanielewa kwa sababu binafsi sijadhamiria kufanya hivyo na sijui kilitokea kitu gani kikatokea hicho kitu.Naombeni ushauri wenu ndugu zangu nimwambie nini mke wangu anielewe.

to yeye
Zero IQ
Yna2
financial services
Darmian
Mzigua90
Carleen
Joanah
Amehlo
DeepPond
Watu8
joseph1989
Numbisa
Shunie
Usher-smith MD
Bujibuji Simba Nyanaume
Saint Anne

NB: Naomba tusiweke masiala kwenye issue sensitive kama unataka kufanya hivyo Bora tu usicomment kabisa kwenye uzi wangu nipo serious
We jamaa kumbe ndio nyuzi zako hizo.

Inaonekana unapenda sana Mtremko

Wewe kila mwanamke unayempata lazima ulale kwake, ule kwake🤣
 
Nawaambiaga vijana "pombe sio mikato kabisa".
Anyways......
Kwanza nikupongeze kwa kupata free "nunu"..😋 which is not easy...😉
Alafu ebu punguza kulalamika mkuu, yaani misused calls 4 ndio unakuja kunaomba ushauri..🤔 Wenzako wanapataga miss calls hadi 50 na sim wanazima alafu the next day wanaenda duka la madawa wananunua gozz na kujizungushia kichwani kana kwamba walipigwa ngeta...😂
🤣🤣
 
Kamwe Mwanaume,
Usikubali kukiri kosa la kuchepuka hata ukamatwe uko Katikati ya mapaja ya mwanamke



Labda Kwa mwanamke mpumbavu lakini mwerevu akukamate live halafu ukatae kosa unazani itakusaidia?

Tena mtu ambaye anakamatwa na kosa na kukataa huwa ni mtu muovu sana wa kukaa naye mbali, ni mtu ambaye dhamiri yake ilishakufa ndani yake,

Ni ambaye anaweza kubaka hata mwanaye wa kumzaa na asione ubaya wowote ndani yake.

Msijisifie uovu ndugu zangu.

Hivi wanawake mnazani ni watoto wadogo au wajinga kiasi gani?
 
Haitaji kujua ukweli kua umechepuka...tafuta askari akutie kabatini kwa muda then ampigie simu mkeo aje akutoe kwa dhamana...kesi ndogo tu hiyo. Ukimnyosheea maelezo umekwisha.

Sent from my SM-G935U using JamiiForums mobile app
 
Mwanamke hata akikufumania unapiga mchepuko chumbani kwenu au popote, kataa kabisa kwamba sio wewe mwambie atakuwa anaota ndoto.

NEVER EVER KUMUAMBIA UKWELI MKEO KUHUSU KUCHEPUKA.



Hivi wanawake mnawachukulia Poa kwa kiasi gani kwa mfano?

Mnawachukulia kama watoto au wakubwa wenzenu?

Kwa hiyo ukikataa kosa wakati amekukamata na ushahidi unazani ndio itasaidia au sana sana utamuongezea hasira na kujua kuwa mtu wa kukataa kosa ni sawa na muuaji?

Kirahisi tu eti kataa kosa! Halafu mkeo akuelewe?!
 
Labda Kwa mwanamke mpumbavu lakini mwerevu akukamate live halafu ukatae kosa unazani itakusaidia?

Tena mtu ambaye anakamatwa na kosa na kukataa huwa ni mtu muovu sana wa kukaa naye mbali, ni mtu ambaye dhamiri yake ilishakufa ndani yake,

Ni ambaye anaweza kubaka hata mwanaye wa kumzaa na asione ubaya wowote ndani yake.

Msihisifie uovu ndugu zangu.

Hivi wanawake mnazani ni watoto wadogo au wajinga kiasi gani?
Hujui athari za kukiri wewe....
Mwanamke anatabia ya kuweka vinyongo, hasa vile vya makosa uliyokiri kwa kinywa chako mwnyw.
 
Hivi wanawake mnawachukulia Poa kwa kiasi gani kwa mfano?

Mnawachukulia kama watoto au wakubwa wenzenu?

Kwa hiyo ukikataa kosa wakati amekukamata na ushahidi unazani ndio itasaidia au sana sana utamuongezea hasira na kujua kuwa mtu wa kukataa kosa ni sawa na muuaji?

Kirahisi tu eti kataa kosa! Halafu mkeo akuelewe?!
Mkuu,
Wanawkae ndivyo walivyo.
Usije kamwe ukakiri kosa la kuchepuka.
Utaharibu kabisa, Bora ukatae kwa Nguvu zote
 
Mkuu,
Wanawkae ndivyo walivyo.
Usije kamwe ukakiri kosa la kuchepuka.
Utaharibu kabisa, Bora ukatae kwa Nguvu zote



Sasa ukatae wakati amekukamata na makosa live pasipo shaka na mashahidi?

Huko si kujitekenya mwenyewe na kucheka mwenyewe?

Yani mtu akukamate live halafu ukatae?

Aisee hasira utakazo msababishia na mwerevu ataku judge kama muuaji.

Mtu mwenye kutenda uovu mkubwa na kukataa dhamiri yake imekufa na anaweza kuua na akaona ni sawa.

Ni mtu asiye na element ya hofu ya Mungu kabisa!
 
Mkuu,
Wanawkae ndivyo walivyo.
Usije kamwe ukakiri kosa la kuchepuka.
Utaharibu kabisa, Bora ukatae kwa Nguvu zote


Sasa iwapo amejionea mwenyewe kwa macho yake huo ukiri au kukana kwako kosa kunasiadia nini?

Once imethibitika kufanya kosa kukataa kwako has nothing to do with
 
Mkuu,
Wanawkae ndivyo walivyo.
Usije kamwe ukakiri kosa la kuchepuka.
Utaharibu kabisa, Bora ukatae kwa Nguvu zote



Ndio maana nikasema Kwani wanawake mnawachukuliaje labda? Kama watoto wadogo au ?

Hata kwenye vyombo vya haki, majambazi na watu waovu mabandidu wengine hukana makosa mbele ya Polisi na mahakamani , lakini unazani huwa inasaidia?

Ilimradi ulikamatwa na kosa na ushahidi kuwepo basi ujue huponi

Wajibika kwa uovu wako hakuna namna!
 
Sasa ukatae wakati amekukamata na makosa live pasipo shaka na mashahidi?

Huko si kujitekenya mwenyewe na kucheka mwenyewe?

Yani mtu akukamate live halafu ukatae?

Aisee hasira utakazo msababishia na mwerevu ataku judge kama muuaji.

Mtu mwenye kutenda uovu mkubwa na kukataa dhamiri yake imekufa na anaweza kuua na akaona ni sawa.

Ni mtu asiye na element ya hofu ya Mungu kabisa!
Ndo maana imeandikwa
"Muishi nao kwa akili"

Maana ake akili zao,
ASILIMIA kubwa mwenye nazo Ni wewe apo.

Wewe ndo mwenye ufunguo wa kumuongoza Ni kipi akitilie akilini Ni kipi akiache. Utakachokiri ndo icho icho atatia akilini.

JICHANGANYE UKIRI SASA,
Nna iman utaleta mrejesho kwa bonge la Uzi humu jf
 
Ndo maana imeandikwa
"Muishi nao kwa akili"

Maana ake akili zao,
ASILIMIA kubwa mwenye nazo Ni wewe apo.

Wewe ndo mwenye ufunguo wa kumuongoza Ni kipi akitilie akilini Ni kipi akiache. Utakachokiri ndo icho icho atatia akilini.

JICHANGANYE UKIRI SASA,
Nna iman utaleta mrejesho kwa bonge la Uzi humu jf
Umejibu vema kabisa brother...

Sent from my SM-G935U using JamiiForums mobile app
 
Ndio maana nikasema Kwani wanawake mnawachukuliaje labda? Kama watoto wadogo au ?

Hata kwenye vyombo vya haki, majambazi na watu waovu mabandidu wengine hukana makosa mbele ya Polisi na mahakamani , lakini unazani huwa inasaidia?

Ilimradi ulikamatwa na kosa na ushahidi kuwepo basi ujue huponi

Wajibika kwa uovu wako hakuna namna!
Mkuu hawa viumbe unawaelewa vizuri?? Akili zao siyo kama wanavyoonekana. Mwanamke unamtengeza wewe mwanaume. Akili yake imeumbwa kufata kile anachoambiwa na mwanaume.

Sent from my SM-G935U using JamiiForums mobile app
 
Ndio maana nikasema Kwani wanawake mnawachukuliaje labda? Kama watoto wadogo au ?

Hata kwenye vyombo vya haki, majambazi na watu waovu mabandidu wengine hukana makosa mbele ya Polisi na mahakamani , lakini unazani huwa inasaidia?

Ilimradi ulikamatwa na kosa na ushahidi kuwepo basi ujue huponi

Wajibika kwa uovu wako hakuna namna!
Hata uko kweny vyombo vya haki,
Sio wote wanaofungwa wametenda kosa.

ASILIMIA kubwa Ni kua wameshindwa kuishawishi akili ya hakimu kukubaliana na utetezi wao.

Hapo ndo umuhimu wa mawakili huja,
Maana ake wakili anauwezo mkubwa wa kumshawishi hakimu hata Kama umefanya kosa kweli amuaminishe kua wewe Ni mtu Safi kabisa.

Kwaiyo kwa suala la ninyi wanawake,
Mawakili Ni sisi wanaume, tumejaaliwa uwezo mkubwa wa kuwashawishi nyeusi muione Ni nyeupe kabisa isiyo na doa
 
Mkuu hawa viumbe unawaelewa vizuri?? Akili zao siyo kama wanavyoonekana. Mwanamke unamtengeza wewe mwanaume. Akili yake imeumbwa kufata kile anachoambiwa na mwanaume.

Sent from my SM-G935U using JamiiForums mobile app
Hata mungu alishasema,
Wanawake daima Watakua chini yetu na sio wawe sawa na sisi au juu yetu.

Mwanaume ukishindwa kumcontrol Mwanamke kuanzia hisia zake, mawazo yake,uchumi wake, akili yake, na kila kitu chake jua umejichimbia kaburi lako mwenyewe.

Kuna Uzi nilishawi leta humu nilifumaniwa ready handled kitandani, nikajitetea nilirogwa yule hakua Mimi kabisa.

Na Mwanamke akaamini 100% na yeye mwenyewe aleta fact kadhaa kuthibitisha yule binti nlofumaniwa nae alikua mchawi sana.

Na ugomvi ukaishia hapo hapo,
Mwanamke wangu akazidisha maombi maradufu kumkemea pepo mchafu na kuniepushia vishawishi vya mchawi yule.

Ilikua kipind hicho sijaoa bado
 
Hata mungu alishasema,
Wanawake daima Watakua chini yetu na sio wawe sawa na sisi au juu yetu.

Mwanaume ukishindwa kumcontrol Mwanamke kuanzia hisia zake, mawazo yake,uchumi wake, akili yake, na kila kitu chake jua umejichimbia kaburi lako mwenyewe.

Kuna Uzi nilishawi leta humu nilifumaniwa ready handled kitandani, nikajitetea nilirogwa yule hakua Mimi kabisa.

Na Mwanamke akaamini 100% na yeye mwenyewe aleta fact kadhaa kuthibitisha yule binti nlofumaniwa nae alikua mchawi sana.

Na ugomvi ukaishia hapo hapo,
Mwanamke wangu akazidisha maombi maradufu kumkemea pepo mchafu na kuniepushia vishawishi vya mchawi yule.

Ilikua kipind hicho sijaoa bado
Mkuu umenifurahisha sana kwa mkeo kuongeza maombi...hawa viumbe lazma uwe na akili ya ziada kuwamudu.

Mwanamke anatakiwa aambiwe kile anachotaka kukisikia kutoka kwa mwanaume ili mahusiano yaendelee vema na ndio maana wanaume tumepewa koo. Si kila kitu lazma mwanamke wako ajue uhalisia wake. Kwanza unakuaje na mahusiano ambayo hayana hata matukio???

Sent from my SM-G935U using JamiiForums mobile app
 
Wewe ni muongo! Ngono kwa mwanaume ni process hivyo huwezi kusema hujui kilichotokea.

Kwa mwanamke inawezekana ukampa kilevi ukamtanua na kufanya yako ila mwanaume lazima udindishe, utafute mbunye, umlale mwanamke na kumwaga wazungu.

Haya yote huwezi kuyafanya bila kuwa na ufahamu wa kinachoendelea.

Kawadangaye watoto.
Kwa maana hiyo, hiyo ni Chai ya tangawizi yenye mdalasini sio?

Sent from my WAS-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom