Naogopa kufanya mapenzi

Mie nilisikia miguno ikabidi nisogee.. Duuh.. Niliyoyakuta balaa yaani.. Njaa zikiwauma ndo mnagumia vile Bujibuji & Paloma..?

si ndio raha zenyewe hizoo......uje na weye ujumuike katika msosi sie sio wachoyo!!!

Hivi shahidi anafungwa..?

anafungwa magoli!!!


..................mwili haujengwi kwa kubofya vituve vya keyboard!!!
 
Bujibuji mbona hukuogopa kumsonsomola Paloma?Napata mashaka na kauli zako, naona kuna double standards ndani yake
 
Last edited by a moderator:
Hahahahahahahahahahah Bujibuji
mpe pole yake mwambie ajaribu hivyo hivyo!
 
Last edited by a moderator:
Jamani mbona kasema yeye hana tatizo la kuogopa kugusana, kasema post kaiokota mtandaoni

mhhhh giLESi inawezekana mamito...........ila hapo alikuwa anamaanishakitu kingine sio kuhusu yeye kuogopa kugusana!
 
Last edited by a moderator:
Nazjaz usiwe unaua mazima kiasi hiki! Yaani haumfichii Buji siri hata kidogo? Inabidi Buji ajipange upya.
 
Last edited by a moderator:

Yani umenichekesha you cant be serious mpaka umepata hao watoto kuna jirani alikusaidia au vipi?
Bujibuji umenchekesha sana as if naona unavyobakwa na wife.
Jf kweli is another world
 
Yani umenichekesha you cant be serious mpaka umepata hao watoto kuna jirani alikusaidia au vipi?
Bujibuji umenchekesha sana as if naona unavyobakwa na wife.
Jf kweli is another world

mtalaka upo???
 
we utakuwa kubwa jinga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…