Mie nalilia kuku mtamu kwa nini aninyime?
Meno ya kutafuna kuku huna
iweje ulilie?
Mwenzangu ndo mmiliki ananinyima kuku mtamu nimfanyaje? Hatutendeane haki jamani
Kha! kumbe kuku wa jirani ndio anakuliza mie nilifikiri wa kwako, tafuta mwingine mzuri zaidi ya huyo umfuge mwenyewe utaona kama kuku wajirani hatokuonea wivu nae atakuwa analia kama ww
Kama ni wako sioni kwa nini utumie manati..........lol mambo ya chumbani inafikia kuwa kichekesho.
Jamani namaanisha mmiliki ni mpenzi/lazizi wangu kwa nini aninyime?
Kumbe mwenzako ndiyo mmiliki basi vumia utazoea kunyimwa kwikwi kwikwi kwikwi kwikwi kwikwi heeeeeeeh.
Meno ya kutafuna kuku huna
iweje ulilie?
Meno ya kutafuna kuku huna
iweje ulilie?
Mie nalilia kuku mtamu kwa nini aninyime?
Jamani hata kunipa kuku mtamu hajawahi nipa namwona tu
Nakusalimu fidel!Huyu ndo kuku mtamu nae nyimwa
Labda amechoka kula kuku kila siku anataka mle bata mchafu .
Nunua wa kwako mfuge mwenyewe jaman!Kuku wa kisasa anae komaa kwa mwezi mmoja na nusu sio mtamu
Mi nataka kuku mtamu
Angenipa kuku mtamu aone nitakavyo lamba mpaka vyombo
Tehe tehe tehe tehe au utakula na sahani kabisa kutokana na utamu wake?Angenipa kuku mtamu aone nitakavyo lamba mpaka vyombo