God'sBeliever
JF-Expert Member
- Sep 1, 2015
- 5,788
- 3,068
habari za leo wakuu natafta mwenye hizi modem zantel E3131 au huawei Hi mini369 mwenye nazo ani pm haraka sana.
ahsante.
ahsante.
Mkuu Kuna Airtel hapahabari za leo wakuu natafta mwenye hizi modem zantel E3131 au huawei Hi mini369 mwenye nazo ani pm haraka sana.
ahsante.
habari za leo wakuu natafta mwenye hizi modem zantel E3131 au huawei Hi mini369 mwenye nazo ani pm haraka sana.
ahsante.
Unataka Mpya au Used?
mpya ndugu hata used ntachukua kwani na shida sana
nashukuru sana mkuu nitanunua ya tigo nifaidido hizo free gb pia wasiwasi wangu ni speed mtnandao wa tigo uko slow sana hasa hii mikoa ya kusini. je inafaa kuflash ili niweke halotel na zantel? kwa sababu ina spid kubwa? je hiyo modem itansumbua ijapokua natumia mitandao mingine maana mmk napakua movie ndefu sana so nafocus kwenye speed.Sasa hapa bongo hamna mtu wakuweza ku Import hizo Nje wanauza Bei kubwa
Hivo utakayotaka hapa lazima iwe Used au Uende Ununue Zantel wanaziuza 30,000/= lakini ipo Locked
Ila ku Unlock ni rahisi sana.
Ila pia Tigo wanauza modem za 4G speed mpaka 150Mbps na 3G speed mpaka 43Mbps bei 50,000/= lakini wanakupa 90GB Free
Bado hauitaki hiyo?
Kuna Modem za Tigo za 3G bei 35,000/= Speed 43Mbps.
Labda wewe umejipanga vipi kwani Mkuu?
Chukua ya tgo 4ghapana nataka izo sababu ni nzuri mno 21mbps
nashukuru sana mkuu nitanunua ya tigo nifaidido hizo free gb pia wasiwasi wangu ni speed mtnandao wa tigo uko slow sana hasa hii mikoa ya kusini. je inafaa kuflash ili niweke halotel na zantel? kwa sababu ina spid kubwa? je hiyo modem itansumbua ijapokua natumia mitandao mingine maana mmk napakua movie ndefu sana so nafocus kwenye speed.
ahsante kwa kunifungua akili nliku sijui izo za tigo 43mbps. ila ntachukua 4g sababu hata iyo 3g ipo. ntoe ofu ya speed mkuu.
Ndio zinatoka Lock bila shika ila sasa upo Kusini ya wapi maana hizo Modem zinapatikana Mikoa yenye 4G tu.
Kuhusu Speed hiyo ndo Modem ambayo inafunika sasa hivi interms of Price and Speed
Sasa hapa bongo hamna mtu wakuweza ku Import hizo Nje wanauza Bei kubwa
Hivo utakayotaka hapa lazima iwe Used au Uende Ununue Zantel wanaziuza 30,000/= lakini ipo Locked
Ila ku Unlock ni rahisi sana.
Ila pia Tigo wanauza modem za 4G speed mpaka 150Mbps na 3G speed mpaka 43Mbps bei 50,000/= lakini wanakupa 90GB Free
Bado hauitaki hiyo?
Kuna Modem za Tigo za 3G bei 35,000/= Speed 43Mbps.
Labda wewe umejipanga vipi kwani Mkuu?
Umeshainunua Hiyo Modem au unauliza ku confirm kama zinatoka Lock?mkuu naomba unisaidie ku unlock hio tigo 4G mimi sina ujuzi wa hayo mambo naogopa risk nisije kujilau wkati mtaalamu niko nae.
Umeshainunua Hiyo Modem au unauliza ku confirm kama zinatoka Lock?
Hizo zinatoka Lock kwa kuweka tu Unlock Codes japo hizi ziko Unique hazitumii IMEI
mkuuu hiii moderm ya tigo ntaweza ku unlock iwe inatumia mitandap.yoteSasa hapa bongo hamna mtu wakuweza ku Import hizo Nje wanauza Bei kubwa
Hivo utakayotaka hapa lazima iwe Used au Uende Ununue Zantel wanaziuza 30,000/= lakini ipo Locked
Ila ku Unlock ni rahisi sana.
Ila pia Tigo wanauza modem za 4G speed mpaka 150Mbps na 3G speed mpaka 43Mbps bei 50,000/= lakini wanakupa 90GB Free
Bado hauitaki hiyo?
Kuna Modem za Tigo za 3G bei 35,000/= Speed 43Mbps.
Labda wewe umejipanga vipi kwani Mkuu?
Hapo nimetaja Modem mbili za Tigo ya 3G na 4G.mkuuu hiii moderm ya tigo ntaweza ku unlock iwe inatumia mitandap.yote
Sasa hapa bongo hamna mtu wakuweza ku Import hizo Nje wanauza Bei kubwa
Hivo utakayotaka hapa lazima iwe Used au Uende Ununue Zantel wanaziuza 30,000/= lakini ipo Locked
Ila ku Unlock ni rahisi sana.
Ila pia Tigo wanauza modem za 4G speed mpaka 150Mbps na 3G speed mpaka 43Mbps bei 50,000/= lakini wanakupa 90GB Free
Bado hauitaki hiyo?
Kuna Modem za Tigo za 3G bei 35,000/= Speed 43Mbps.
Labda wewe umejipanga vipi kwani Mkuu?
Navyojua Mkoa wowote wenye 4G ya Tigo wanauzaHizo za tigo umesema 4G ni tsh 50,000. Na unapata 90 GB? Wanauza wapi maana nazitaka hizo please. Kama zina speed ya ukwel kwel
4G mkuuHapo nimetaja Modem mbili za Tigo ya 3G na 4G.
Je wewe unaongelea ipi?
Mkuu vipi kuhusu modem za voda zte r 206 jinsi ya kuunlockSasa hapa bongo hamna mtu wakuweza ku Import hizo Nje wanauza Bei kubwa
Hivo utakayotaka hapa lazima iwe Used au Uende Ununue Zantel wanaziuza 30,000/= lakini ipo Locked
Ila ku Unlock ni rahisi sana.
Ila pia Tigo wanauza modem za 4G speed mpaka 150Mbps na 3G speed mpaka 43Mbps bei 50,000/= lakini wanakupa 90GB Free
Bado hauitaki hiyo?
Kuna Modem za Tigo za 3G bei 35,000/= Speed 43Mbps.
Labda wewe umejipanga vipi kwani Mkuu?