financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 18,190
- 43,517
Hiyo bei mkuu au unataka vifaranga vyenye week 1?
Mkuu samahani huko bei inasemajeNjoo Handeni Tanga Kila jumapili Kuna mnada wa kuku.. lakini kwa bei hiyo uwezi pata mkuu
Fugeni kuku,hii ni fursaMadalali wanapenda faida kuliko wenye mali...hapo kaambiwa atafute kuku wa 15k
Anza ww uje utupe feedbackFugeni kuku,hii ni fursa
Naomba picha mzeeNina kuku 100 kienyejii pure...Naptikan
Tabora..! 16k × 100
Kiongozi kwema vp Bado upo singidaNiko singida but hiyo bei unajidanganya sanaa kuku wapo juu sana
Weka bei elekezi, watu wavunje mifupa na mwisho wa mwakaMalii izooView attachment 2416246