Curious Naturally
JF-Expert Member
- Mar 2, 2013
- 528
- 523
5000! [emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]ptuuuuu
Bei yake ikoje mkuuNingekuunganisha kwa mtu yuko Singida bt bei yako n ya njaa sana.
Kama unao 1000 niletee5000! [emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]ptuuuuu
Kwa kumbukumbu yangu, mtetea 7000 Jogoo 10000Bei yake ikoje mkuu
Kama watanifikia mikononi mwangu kwa 7000 sio mbayaKwa kumbukumbu yangu, mtetea 7000 Jogoo 10000
Ww pambana na hali yako mkuu.Kama watanifikia mikononi mwangu kwa 7000 sio mbaya
Siwez kabisa kuletaKama unao niletee tufunge biashara
Wa kienyeji amachotarabei ipo chini labda 12000 nina kuku 4000
hahahahahaWw pambana na hali yako mkuu.
Kama umekubaliana nao bei kabla ya kujua utawatoa wapi kwa shilingi ngapi, hiyo tenda inakupita hivi hiviKunasehemu natakiwa ni-supply, nami nataka nipate faida
kienyeji mkuuWa kienyeji amachotara
Hiyo ni kwa mwaka Jana now kuku wapo juu sanaaaKwa kumbukumbu yangu, mtetea 7000 Jogoo 10000
unahitaji wa umri gan?!Nanunua kuku wengi wa kienyeji-mtetea kwa shilingi 5000/=. Kama una kuku wa kienyeji mtetea kuanzia 50, 100, 200, 1000 n.k nanunua kwa bei hiyo Arusha. Ufugaji unalipa.
Asante kwa update bossHiyo ni kwa mwaka Jana now kuku wapo juu sanaaa
Wanaokaribia kutaga,hata ukiwapata wanaotaga ni vizuri zaidiunahitaji wa umri gan?!