Nanunua Kampuni yenye leseni ya usafiri wa Anga.

Nanunua Kampuni yenye leseni ya usafiri wa Anga.

iCode

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2013
Posts
770
Reaction score
459
Umofia kwenu wanajamvi.

Ninatafuta kampuni inayouzwa na inayojihusisha na maswala ya usafiri wa Anga (Abiria na Mizigo). Sharti iwe na usajili na iwe na umri wa at least miaka mitano (5). Kampuni hiyo iwe au isiwe na vyombo hivyo vya usafiri sio hoja kubwa, ni kuwa na leseni (5 years on market) Ofisi zikiwa Arusha, Mwanza au Dar will be an added advantage.

Mwenye kufahamu kuhusu hili, Karibu Inbox.
 
Umofia kwenu wanajamvi.

Ninatafuta kampuni inayouzwa na inayojihusisha na maswala ya usafiri wa Anga (Abiria na Mizigo). Sharti iwe na usajili na iwe na umri wa at least miaka mitano (5). Kampuni hiyo iwe au isiwe na vyombo hivyo vya usafiri sio hoja kubwa, ni kuwa na leseni (5 years on market) Ofisi zikiwa Arusha, Mwanza au Dar will be an added advantage.

Mwenye kufahamu kuhusu hili, Karibu Inbox.
Yericko Nyerere pia huwa ana vyombo vya usafir... african teleportation....
 
Watu wawe serious kwenye masuala yamsingi, jamaa yuko serious anahitaji hivyo vitu, wengine wanakuja na utani, msaada kwanza utani baadae
 
  • Thanks
Reactions: K11
Watu wawe serious kwenye masuala yamsingi, jamaa yuko serious anahitaji hivyo vitu, wengine wanakuja na utani, msaada kwanza utani baadae
Ni kweli mkuu, sisi wa joined 2010s hizi tunajua. ila kweli hili hitaji langu ni la msingi sana. kuna wawili tunajadiliana inbox wapo vzr.
 
  • Thanks
Reactions: K11
Back
Top Bottom