Nanihii yangu inasinyaa na kutanuka


Mkuu Mimi Si daktari na wala sioni sababu ya Kukwambia Pole kwa Sababu naamini Physically huna tatizo, nahisi tatizo lako la zamani la kutojiamini limeanza kukurudia na hii inaweza kusababishwa na kusoma sana kwenye mitandao juu ya size ya Uume kama inahusika sana katika kumridhisha mwanamama. Ukisoma article za mtandaoni unaweza kukutana na zile ambazo zinazungumza negatively kuhusu uume mfupi sasa kama ukiendekeza sana itakupunguzia hali ya kujiamni. Amini wewe aweza mkuu wangu
 
Pole mkuu kwanza nikupongeze kwa jina hilo la 'mbunduje' lakini pia nikueleze kuwa wax=cha wasiwasi kwani ndio chanzo cha tatizo ulilo nalo kaka
 

Nashukuru kwa ushauri wako NYU, lakini kumbuka mbunduje yangu inaposisimka huwa inaongezeka, si unene tu bali hata urefu. Ka hiyo kinachonitatiza si ufupi bali ni ile hali ya mbunduje kuwa km ya mtoto na mara nyingine kuwa ya mtu mzima. Na zaidi ni matukio ya hivi karibuni. Kwani hata nikisafiri wiki mbili, siku ikirudi na kufanya huwa nachoka sana kiasi cha kuishiwa nguvu na huwa mvivu kuamka asubuhi kiasi cha kutopenda ku-do siku za kazi kwani naweza uchelewa kazini.
 

Duh! Nami naomba mnisaidie, kuna korodani za aina ngapi? za kuning'inia na zipi tena?
 
Duuuh wanaume tuna kazi kweli kweli.
Dooh
!lakini ndugu yangu mshukuru mungu umepata WAtoto,maana bila hivyo ingekuwa shida kweli kweli.
Kuna jamaa yangu ana similar case,lakini amemkubalia mkewe a enjoy na mtu yeyote yule kwa sababu yeye baada ya yote hayo, sasa inaweza kuacha kama kwa 1 month kabisa ku err. akaamua kuliko kumnyima raha mpenzie bora amruhusu,maana jamaa aliona atamnyima raha na baadae atakuja kujisikia aondoke na mambo mengine ya kiafya. Pole sana mungu abariki upate solution.
 

pole sana kaka kingwipa1.

tatizo lako laweza kusababishwa na mambo mengi sana kama vile diet, mood,stree, uzito uchovu , magonjwa ya kudumu au ya mara kwa mara nk. lakini ninao ushauari mmoja tu kwako, siku ya j3 kama uko hapa dsm basi njoo mitaa ya makuburi hapa external EPZA, mbele utaona TFDA baada fuata hiyo barabara hadi ufike kanisa la lutherani la makuburi ukiwa hapo kanisani upande wa kulia utaona geti jeusi. ingia hapo ni ofisi za NIMR department ya traditional medicine. ukifika nitafute utapata tiba.
 
Dah,ebwana huu ushauri wako wa kwenda nje ya ndoa umenikuna sana maana wengi wa jamaa ninao wafahamu huwa wanadai ukienda nje perfomance huwa inakuwa excellent ila ukirudi home kaugonjwa kanarudi.
 
Mnawapa wanawake wenye ndoa zao Pressure Jamani. Hizi comment za kutoka nje ya ndoa na kutokuwa na msisimke zinawaua. Msifanye hivyo jamani

Ushauri kwa mtoa Mada! Jaribu kuwaona Madaktari wa saikolojia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…