Kusinyaa wakati wa baridi au wakati hauna wazo lolote la kufanya sex ni jambo la kawaida. Kuuma misuri wakati mzee amepamba moto ni jambo la kawaida maana anahitaji u-download then misuri haiwezi kuuma. Kuhusu pre-enjaculation, kama aliyetangulia kasema, yawezekana ni style ya maisha uliyonayo na mazoea na mwenzako, nikuulize, je ukitoka nje ya ndoa hali inakuwaje?? je, unapiga bao zaidi na zaidi?? nenda taratibu inaonekana hauna tatizo lolote.