Nani zaidi: Rose Muhando vs Bahati Bukuku?

Beautiful in what sense? tena umeweka na msisitizo wa swanglish kabisa!..

Wote wa vipaji vya kuimba na kuhubiri neno la Mungu kwa nyimbo zao ila ukipenda zaidi burudani ya kucheza wimbo, Rose Mhando kama albamu yake moja ya kitimtim basi zinachezeka vizuri sana.
Thread inauliza nani zaidi.......mie siangalii nyimbo zao maana zoote zafanana ujumbe ule ule mahadhi yale yale.....midundo ile ile....so uzaidi mwingine ndio huo.....bahati anavutia hasa kuliko rose.....
 
Thread inauliza nani zaidi.......mie siangalii nyimbo zao maana zoote zafanana ujumbe ule ule mahadhi yale yale.....midundo ile ile....so uzaidi mwingine ndio huo.....bahati anavutia hasa kuliko rose.....

Nilisema watu watahama, wengine hawakuamini, haya mtu wa tatu huyu anasema Bahati anavutia, sijui katika nini, mtaenda mbali zaidi na mtu atasema ya ndani kabisa, subirini......ehe!
 
Samahani kwa kutoka nje mimi naona kwa sasa Christina Shusho ndio mkali wa gospel hapa bongo kwa hao 2 zaidi Rose Muhando
 
Jamani wanovuma baharini papa lakini wengine nao wapooo, hebu angalia hawa watoto wa kisukuma na kanda yao inaitwa GUSA, pateni kionjo

[ame=http://www.youtube.com/watch?v=UBarL9xXVkU&feature=related]YouTube - Nenda na Uzima[/ame]

nipeni tathmini yenu wadau
 
[ame=http://www.youtube.com/watch?v=38IA97lLrRY&feature=related]YouTube - Upendo Nkone- Mungu Baba[/ame]
 
Thread inauliza nani zaidi.......mie siangalii nyimbo zao maana zoote zafanana ujumbe ule ule mahadhi yale yale.....midundo ile ile....so uzaidi mwingine ndio huo.....bahati anavutia hasa kuliko rose.....

Shem Bahati Bukuku ni mkali kuliko Rose Mhando, anapiga mapigo ya reggae na yuko well composed kama ulivyoainisha.....Kuna ule wimbo Dhahabu something mmmhh balaaa
 
Shem Bahati Bukuku ni mkali kuliko Rose Mhando, anapiga mapigo ya reggae na you well composed kama ulivyoainisha.....Kuna ule wimbo Dhahabu something mmmhh balaaa

I am not an expert on reggae music, but someone said anybody can compose a reggae song with no qualms. Please watch this video, its a little bit long but very funny! The fun about reggae music begins at 3:10
I am not against either Rose and Bahati but I am selective as to which songs of these artists are good.

Enjoy the clip!!!

[ame=http://www.youtube.com/watch?v=ECqvBs0Qx_U]YouTube - Merkin & biggin up raggae music at once.Drunk comedy(1 of 2)[/ame]

[ame="http://www.youtube.com/watch?v=wvGfsROHGcM"]http://www.youtube.com/watch?v=wvGfsROHGcM[/ame]
 
They all have powerful vocals. I love to hear both, depend on the day! Bukuku is good in touching with your soul, while mhando is has an energizing spirit.
 
Bimkubwa, you made my day with Nigerian comedian! it was so funny! Too bad I am in the office, i found myself limited to laugh out loud! Thanks for making my day
 
hello!
mimi nawapenda wote.tatizo ukiniambia nichague nikimuache rose muhando nitakuwa nimejinyima haki.
Rose muhando ni overall.
Sababu
Ujumbe wake unachoma mno.watu wengi siku hizi wanapenda nyimbo zinazo fariji tu,tatizo rose ni muinjilisti.mfano.uwe macho!! mzinzi endelea kutena dhambi utakwenda na ngoma!!!

pia napenda style yake ya kuimba.ngoma nzito namna anavyoimba haraka ndiyo anayocheza.

Sauti yake na maneno yake huwa yananifanye ninunue soda njiani ili mradi tu nimsikilize.yaani analazimisha usikilize hata kama hutaki

binafsi Rose is my favourite singe!
 
rose muhando ni muhubiri,mnaomsema vibaya hamjajua nini anafanya.nampenda sana.waimbaji wote wanaimba huku wanalia yeye anakwambia hatumo miongoni mwa watu wenye mashaka! safi sana!
 
wote wako juu,

1.
kwa siku za karibuni bukuku amekuwa akivuta hisia zaidi na mhando amekuwa akinengua viuno zaidi.

2.
nampenda mhando kwa kushirikisha aimbaji wengi kwenye nyimbo zake na anasaidia kuwajenga wengine na bila shaka wanapata hela ya sabuni kidogo. huyu bahati inaonekana ni ana tamaa sana ya pesa, manake anataka hela yte ya kazi zake afaidi peke yake ndio maana anaimba peke yake..

3.
kwa mistari, wanatoka droo.

4.
album ya kwanza ya mhando haiwezi kupata mpinzani!!!!!!!!!!
 
Majuzi tu si wimbo wa Rose Mhando ulichaguliwa wimbo bora wa mwaka 2009 katika kipindi kwenye TBC. Amewashinda wengi akiwemo Bukuku.
 
Kwa maoni yangu nadhani Bahati Bukuku ni bora zaidi kwani ladha ya nyimbo, sauti vinaendana na uchezaji halafu ametulia fulani whereas Rose anasauti nzuri sana lakini she is more of a copy cat wa kina malope na wadada fulani wa DRC halafu anapocheza ni more acting than mzuka
 
kwa mie nampenda sana Bhati Bukuku nabarikiwa na uimbaji wake siju zote
pia nampenda kwa vile hatumii nguvu nyingi sana kuimba
 
ebu jamani sikilizeni ule wimbo wa ESTER.utagundua huyu dada 'ni special'


Umenikumbusha nyimbo nyingine za Bahati Bukuku,SONGA MBELE na MAJARIBU yaani nazikubali sana hizi nyimbo,huyu dada ana kipaji na pia ana kipawa amepewa na Mungu
KIPAJI - mtu anazaliwa nacho
KIPAWA- MTU HUPEWA NA MUNGU,sasa unapochanganya hivyo vyote + maombi lazima utatoa nyimbo ambazo zinakua na message nzuri sana.

Kiukweli kabisa; Rose Muhando anaimba mapambio na BahATI BUKUKU YUPO ZAIDI KWENYE MESEJI.

Sasa unapowashindanisha wanamuziki hawa lazima uzingatie vigezo vya: kuuza zaidi, kukubalika na jamii (bila kujali meseji)

Lakini mimi kama mkongwe wa muziki wa reggae ambao asili yake ni hisia, namkubali kwa meseji Bukuku na kwa mapambio rose muhando.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom