Nani zaidi: Rose Muhando vs Bahati Bukuku?

Heshima yako mkuu,

- Nimesema siku nyingi sana kwamba katika maisha unapokuwa hujui, then huna choice zaidi ya kuwasikiliza wanaojua, wakuelemishe. Ni clear kwamba kwenye maisha tunazaliwa tofauti, wengine tulizaliwa very active na kupitia mambo mengi sana kwa wakati unaotakiwa, na besides hata system yetu ya kiutawala ilikuwa ina-encourage mambo mengi ambayo siku hizi hakuna tena.

- Tumecheza mpira, kuanzia ya shule za msingi, sekondari, vyuoni, na JKT, kwenye haya mashindano ambayo siku hizi hayapo tena, tumekutana na watu mbali mbali na wa kila aina, ambao wengi wao siku hizi ndio viongozi wetu wa taifa, wamiliki wa biashara kuu nchini, maarufu wa shughuli mbali mbali katika taifa, na wengine ni watu wa kawaida, halafu growing up location that is another story of itself. Kuna wakati mmoja mpira wa miguuu ulikuwa ndio deal, wakati mwingine u-DJ ukawa deal, ikaja ubaharia ndio deal, ndio maana tukapata nafasi ya kujaribu kila kitu katika maisha, sasa I can see the problem kwamba wengiwetu siku hizi hatukupata hizi nafasi, kwa hiyo wale tuliopitia tunapotoa our experience tutaendelea kuwa alliens na kwamba tunajua kila kitu. Tatizo sio kuwa jirani na nani, hapana the ishu ni kama unaweza kuoanisha ujirani na ukweli wa hoja unayo-represent.

- Nilipokuwa NYC, nimepiga sana Disco kwenye club as a DJ as part time, huku ninafanya kazi, na kwenda College pia at the sametime, nimetayarisha sana maonyesho ya miziki NYC na hata hapa nilipo mpaka leo ninaendelea once in a while kufanya hizo shughuli za maonyesho, infact sasa hivi ninafanya research ya kuwawezesha FM Academia Wazee wa Mujini, kwenda US baada ya kumaliza ziara yao ya UK, kwa hiyo mkuu wangu rest assured kwamba hudanganywi tunaposema experience, ila ni ukweli mtupu na cha muhimu ni hoja kama inakubaliana na the claimed experience.

- Tunapoingia hapa kujadili mada, huwa tunaingia with confidence and in a serious manner ama sivyo hatugusi kabisa mada kama hatuna anything on it, tunakaa pembeni na kula elimu ya bure kutoka kwa wengine, otherwise samahani sana kwa kukukwaza kutokana na experience mbali mbali tunazoziweka hapa maana mpaka kumuita bin-adam mwenzio nuksi kwa sababu tu mawazo yake hayakubaliani na yako, that is deep, ningekuelewa ungesema jamaaa ni muongo na ushaidi ni huu sawa, lakini ni nuksi na anajua kila kitu ina maana nimekukwaza, kwa hiyo samahani sana mkuu, nilikuwa najaribu tu kuchangia mada kulingana na experience yangu na Muziki, infact betweeen the two yaani Rose na Bahati, I would rather invest on Rose maana italipa no matter what!

Unless kama hukutaka nishiriki kwenye this Mada, ninakuelewa pia, samahani kwa lecture ndefu lakini muhimu sometimes, na tutaendelea kuweka experience zetu inapobidi na pia kuelimika kutoka kwa wengine kama wewe na experience zenu.

Respect.

FMES


Invisible unaweza kutuwekea price list ya matangazo hapa mkuu?..
 
- yaani Rose anayechukua zawadi za Tanzania Breweries, anaweza kuwa spiritual kuliko mimi ninayejaribu kuwapima kutokana na talents zao?

FMES.

Hapo umenena mkuu! so kiroho huyu zero?? ati?

Talents?? I agree with you, if you meant that,

Lakini sio kuwa unashindanisha talents tofauti, kile unachokipenda kutokana na utashi wako, na moyo wako, maana nyimbo zao ni tofauti kabisa Bahati(slow) Rose(fast) how can you cook them in one pot??
 
Hapo umenena mkuu! so kiroho huyu zero?? ati?

Talents?? I agree with you, if you meant that,

Lakini sio kuwa unashindanisha talents tofauti, kile unachokipenda kutokana na utashi wako, na moyo wako, maana nyimbo zao ni tofauti kabisa Bahati(slow) Rose(fast) how can you cook them in one pot??

- Ninafahamu njia moja tu ya kupima talents za wanamuziki, nayo ni mapato wanayoingiza kutokana na muziki wao wanaopiga, na ndio maana nikasema hivi huwezi kuwaona hawa wakipiga bure nyimbo zao za dini kuwaona ni lazima ulipe sasa je wakilipwa wanaingiza ngapi kwangu ndio kitu cha msingi hapo, au? Maana Yesu wanayemuimba all the time hakumlipisha mtu kumuona, au kupata ujumbe wake, au?

FMES
 
Ofcourse huyu bibie naye si haba, kuna nyimbo zake kama Unikumbuke, tunakuabudu etc we acha tu.......ukizisikiliza unajihisi uko mitaa ya kwa Sir God vile.....yupo juu as well kwenye nyimbo za kuabudu!

Kwakweli- u have touched me! Huyu mwanamke is unique kwa sasa, wakina Upendo Nkone na Kilahiro wako vizuri lakini Shushu she is coming up very well! Just a top up to what u have said!
 
Last edited:
Hawa wawil kila mmoja anastyle yake ya kutumbuiza etc kama unapenda utulivu, kuabudu, kutafakari, faraja, etc Bukuku ndio mahala pake...hiyo ndio kazi yake kwa kweli..huyu mama Mungu ambariki sana! Sikiliza au angalia video kama Yehova, Waraka, Ukiinuliwa etc....yaani ka binti kangu ka miaka miwili nikikawekea DVD ya waraka, bac mamake atafanye shughulizake mpake amalize...kenyewe kapo tu na hiyo!

Ukija kwa Rose....naye kama unataka kujirusha fulani na Yesu....huyu mama ni mahala pake kweli kweli...angalia video kama Nibebe, jipange sawasawa, amina, si salama, mbella etc..... ndo maana nyimbo zake nyingi zinapigwa kwenye maharusi, vipaimara, ubatizo etc!

So ukitaka nipige kura, inabidi hawa kinamama wawekwe kny category tofauti na kila mmoja anafanya vizuri kwenye category yake!


Ndugu yangu kuongezea uliyoyasema ambayo nakubaliana nayo - lazima watu watambue huduma mbalimbali ambazo Mungu ameweka katika kila mmoja wetu! Bukuku kwasehemu yake anafanya la kwake hasa nyimbo za kuabudu na kweli watu wanabarikiwa, anaweza kuwa na mapungufu ya kwake kama Rose pia lakini si wengine haya hayatuhusu maadam Mungu amewapaka mafuta kwaajili ya wakati huu kuimba na Mungu wetu awasaidie.

Let us be frank, hivi yule mkenya ama mganda anaye msikia Rose ama Bukuku kwa audio ama Dvd ana haja ya kujua udhaifu wake badala ya kufurahia huduma za hawa watu walizo beba, nafikiri wakati mwingine tunakosea sana we just need to cover their spiritual nakedness in prayers!

Kadhalika Rose, huyu dada anaongoza kwasasa kwanyimbo za uinjilisti kwa Tanzania na nashawishika kusema yamkini akawa Afrika mashariki anaongoza kwa waimbaji wa aina yake na kwa mafanikio amewazidi wengi. Ana umaarufu nje ya mipaka yetu hasa Kenya kuliko muimbaji yeyote kwasasa anaelekea kwa Chibalonza.

Otherwise, ningependa wandugu muelewe mpende ama msipende - kwa hali ilivyo huwezi kudharau hizi huduma na kutaka hawa watu waishi maisha duni na still wanamuimbia Mungu mwenye kilakitu! Wacha wapate ujira wao kulingana na huduma walizobeba, maadam injili inasonga mbele. Unaweza usibarikiwe wewe na mmoja wa hawa lakini i assure you people are blessed! You may judge them because of self righteousness as we count ourselves worthy than the other but at the end of the day they excell spiritually and we remain complaining and hence commiting sins!
Bless you all.
 
you could be right,cause the way anavyoimba na kucheza there could be grounds for this assumption

Rose Mhando anakipaji sana cha kuimba ila hatoi picha nzuri kwa jamii anapiga jani na anapepo la ngono! Bahati Bukuku naye ni mwimbaji mzuri wa Gospel ila kama kila mtu alivyo na mapungufu yake, yuko kwenye ART.
 
Rose Mhando anakipaji sana cha kuimba ila hatoi picha nzuri kwa jamii
anapiga jani na anapepo la ngono!
Bahati Bukuku naye ni mwimbaji mzuri wa Gospel ila kama kila mtu alivyo na mapungufu yake, yuko kwenye ART
.

Mkuu Masa......mmhhh!

Yaya maneno hapo juu unauhakika nayo ndugu yangu? Mimi sibishii wala si support kwasasa coz sina ushahidi wowote na sipo karibu na hawa watu!

ART ni nini tena Masa?
 
- Ninafahamu njia moja tu ya kupima talents za wanamuziki, nayo ni mapato wanayoingiza kutokana na muziki wao wanaopiga, na ndio maana nikasema hivi huwezi kuwaona hawa wakipiga bure nyimbo zao za dini kuwaona ni lazima ulipe sasa je wakilipwa wanaingiza ngapi kwangu ndio kitu cha msingi hapo, au? Maana Yesu wanayemuimba all the time hakumlipisha mtu kumuona, au kupata ujumbe wake, au?

FMES

LOL, sina la zaidi inabidi nicheke , to be honest that is reality in arts!
 
LOL, sina la zaidi inabidi nicheke , to be honest that is reality in arts!

ndo deal zinazo lipa siku hizi dini na vishule vya international lete walimu toka Kenya au Uganda mbona utawakamata wazazi kibao tu wanakuletea watoto na wewe unapiga Milioni milioni ada.
 
Duuuh Mkuu Masanilo unamaanisha... ni.....ART

Antiretroviral drugs are medications for the treatment of infection by retroviruses, primarily HIV. When several such drugs, typically three or four, are taken in combination, the approach is known as highly active antiretroviral therapy, or HAART. The American National Institutes of Health and other organizations recommend offering antiretroviral treatment to all patients with AIDS. Because of the complexity of selecting and following a regimen, the severity of the side effects and the importance of compliance to prevent viral resistance, however, such organizations emphasize the importance of involving patients in therapy choices and recommend analyzing the risks and the potential benefits to patients without symptoms.
There are different classes of antiretroviral drugs that act at different stages of the HIV life cycle.

Kama ni hivyo duuuh........
 
Mimi kwa kweli ninakunwa na Rose Muhando. Kwanza, Rose Muhando anatunga na anatoa kitu kipya kabisa wakati Bahati Bukuku sijaona kipya kwake. Nyimbo zake zinaweza kutungwa na mtu yeyote yule. Pili nyimbo za Rose Muhando ni authoritative na zinagusa sana jamii. Nyimbo za Rose Muhando unaona kuwa hapa alifikiri na kama aliongozwa na roho ya Mungu kutunga na kupangilia. Hata hivyo, naona vyombo vya habari kuna wakati vilimwandama sana Rose Muhando. Wakati mwingine unaweza ukazushiwa mambo ya ajabu ajabu. Nibembeleze unibebe unipeleke kwa baba,
mwanamke usiwe mpumbavu kama yule..... KUWA KAMA ABIGAIL
JIPANGE SAWASAWA
MTEULE UWE MACHO, HIZI NI SIKU ZA MWISHO.....
 
ebu jamani sikilizeni ule wimbo wa ESTER.utagundua huyu dada 'ni special'


Umenikumbusha nyimbo nyingine za Bahati Bukuku,SONGA MBELE na MAJARIBU yaani nazikubali sana hizi nyimbo,huyu dada ana kipaji na pia ana kipawa amepewa na Mungu
KIPAJI - mtu anazaliwa nacho
KIPAWA- MTU HUPEWA NA MUNGU,sasa unapochanganya hivyo vyote + maombi lazima utatoa nyimbo ambazo zinakua na message nzuri sana.


huo wimbo jamani naupenda kupitiliza.
 
Mimi kwa kweli ninakunwa na Rose Muhando. Kwanza, Rose Muhando anatunga na anatoa kitu kipya kabisa wakati Bahati Bukuku sijaona kipya kwake. Nyimbo zake zinaweza kutungwa na mtu yeyote yule. Pili nyimbo za Rose Muhando ni authoritative na zinagusa sana jamii. Nyimbo za Rose Muhando unaona kuwa hapa alifikiri na kama aliongozwa na roho ya Mungu kutunga na kupangilia. Hata hivyo, naona vyombo vya habari kuna wakati vilimwandama sana Rose Muhando. Wakati mwingine unaweza ukazushiwa mambo ya ajabu ajabu. Nibembeleze unibebe unipeleke kwa baba,
mwanamke usiwe mpumbavu kama yule..... KUWA KAMA ABIGAIL
JIPANGE SAWASAWA
MTEULE UWE MACHO, HIZI NI SIKU ZA MWISHO.....

- Mkuu tupo pamoja hapo, hii Album haitakuja kuchuja ni kama ule wimbo wa "Mbongo Endima"(Hela zimeisha) wa Mayaula Mayoni, pamoaj na kwamba ulipigwa miaka karibu 15 iliyopita, lakini mpaka leo bado ni mpya tu.

FMES
 
Aisee hapa kwenye FM Academia umenigusa mwanawane...inabidi tuonge vizuri....hawa watu lazima watu tuingie ubia wakija USA!...Hii ni bonge la point ume-make!....


- Mkuu Kelly tuwasiliane kama uko serious na yoyote yule mwingine anakaribishwa hasa miji ya nje ya New York, maana nilishamwambia owner wa hiyo bendi kwamba New york hakuna wapenzi wengi maana wengi wa hko waliondoka siku nyingi bongo,ila wapo Boston, Dc, Atlanta, na Texas wachangamkaji huko tuwasiliane kwenye PM.

FMES!
 
- Mkuu tupo pamoja hapo, hii Album haitakuja kuchuja ni kama ule wimbo wa "Mbongo Endima"(Hela zimeisha) wa Mayaula Mayoni, pamoaj na kwamba ulipigwa miaka karibu 15 iliyopita, lakini mpaka leo bado ni mpya tu.

FMES

Kuna vibao yaani miaka nenda rudi havichuji kabisa watu mtaendelea kuselebuka tu mpaka wajukuu...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom