Raia mpya
JF-Expert Member
- Apr 12, 2022
- 906
- 2,488
Kuna magwiji wawili wa muziki wa kisasa kwa upande wa wanawake Tanzania—wanadada Rehema Chalamila (Ray C) na Lady Jaydee (Komando).
Kwa kuangalia melody, sauti, mashairi, pamoja na nyimbo walizoimba, walizoshirikishwa na kushirikiana na wasanii wengine—unaenda na nani?
Mimi binafsi, Ray C alinivutia zaidi; ana sauti nzuri na nyimbo nzuri sana.
Tuone kidogo hapa
Twende kazi vip kwa upande wako
Mimi binafsi, Ray C alinivutia zaidi; ana sauti nzuri na nyimbo nzuri sana.
Tuone kidogo hapa
- Mahaba ya dhaati
- Uko wapi
- Sogea Sogea
- Wanifuatia nini
- Na wewe milele
- Sikuhitaji
Twende kazi vip kwa upande wako