Red Scorpion
JF-Expert Member
- Feb 1, 2012
- 5,736
- 4,254
Sikia hii
KONDA: "Denti achieni viti sogeeni nyuma,,
halafu madenti wa siku hizi usharobaro tu elimu sifuri,,
enzi zetu mtu ukitoka shule unakuwa na kitu kichwani..."
DENTI: "Acha matusi tunasoma na tunaelewa sana..."
KONDA:"Kama unaelewa nambie 3x3 ngapi??"
DENTI: "33...."
KONDA: "Huna lolote umebahatisha au atakuwa kakutajia mwenzio huko
nyuma!!!!"
KONDA: "Denti achieni viti sogeeni nyuma,,
halafu madenti wa siku hizi usharobaro tu elimu sifuri,,
enzi zetu mtu ukitoka shule unakuwa na kitu kichwani..."
DENTI: "Acha matusi tunasoma na tunaelewa sana..."
KONDA:"Kama unaelewa nambie 3x3 ngapi??"
DENTI: "33...."
KONDA: "Huna lolote umebahatisha au atakuwa kakutajia mwenzio huko
nyuma!!!!"