Lady.A
JF-Expert Member
- Dec 13, 2013
- 392
- 191
Habari zenu wakuu, Leo napenda kushare na nyinyi juu ya hili swala la lawama kwa pande zote mbili.
Siku hizi imezuka misemo utasikia eti "wanaume/wanawake walikuwa zamani bwana siku hizi hakuna kitu" kwani hawa wanawake/wanaume WA siku hizi wamezaliwa wapi na wamelelewa na akina nani?
Mawazo yangu ni kwamba, watu ni walewale tatizo ni kupanda mno kwenda na wakati mpaka tunajishangaa na kushangaana. Wewe mwanaume/mwanamke kwa nini usiwe Kama ulivyo? Kwa nn uwe na tamaa za ajabu na kukifanya kuwa sehemu ya maisha yako?
Na he kwa mtindo huu WA kulaumiana wanaume wanasema wanawake wamezidi na wanawake wanasema wanaume wamezidi, ni nani anadhani yuko sahihi?
Siku hizi imezuka misemo utasikia eti "wanaume/wanawake walikuwa zamani bwana siku hizi hakuna kitu" kwani hawa wanawake/wanaume WA siku hizi wamezaliwa wapi na wamelelewa na akina nani?
Mawazo yangu ni kwamba, watu ni walewale tatizo ni kupanda mno kwenda na wakati mpaka tunajishangaa na kushangaana. Wewe mwanaume/mwanamke kwa nini usiwe Kama ulivyo? Kwa nn uwe na tamaa za ajabu na kukifanya kuwa sehemu ya maisha yako?
Na he kwa mtindo huu WA kulaumiana wanaume wanasema wanawake wamezidi na wanawake wanasema wanaume wamezidi, ni nani anadhani yuko sahihi?