nderingosha
JF-Expert Member
- Mar 20, 2011
- 4,281
- 3,243
Mkubwa..washauri wakubwa ni hawa wafuatao;-1.Wasira 2.Riz one 3.salma.k 4.kinana 5.mwigulu 6.lusinde 7.mulugo 8.rweyemamu yulee msemaji wa ikulu 9.ighondu 10.ghasia 11.kombani....hawa ndo wanaharibu kichwa cha rais....maskini kikwete!
...Kiranga..issue sio kumficha rais nyuma ya kivuli cha washauri...issue ni je hivi inawezekanaje rais asimamie upuuzi..wakati (probably)ana washauri??..Ndio rais anavurunda(personally)...je inawezekanaje hili liendelee kutokea mara kwa mara??wakati ana washauri (kama kweli wapo)??..inawezekanaje watu waendelee kumwona anavurunda na wasichukue hatua??..haya ndio mambo mi najiuliza...otherwise simtetei rais...na sioni la kutetea.....Washauri wa rais huteuliwa na rais.
Hivyo rais kama anavurunda, hawezi kulaumu washauri.
Kwa sababu kawachagua yeye.
Akilaumu washauri atakuwa anavurunda mara tatu.
Kwanza kwa kuvurunda originally, whatever the issue was.
Pili kwa kuvurunda kwa kutochagua washauri makini.
Tatu kwa kulalamikia kwamba washauri wake aliowateua mwenyewe hawafai.
The buck stops with the president. Washauri hawajaomba kura kuingia Ikulu.
Tusitake kutetea upuuzi kwa kumficha rais nyuma ya kivuli cha washauri.
Washauri wa rais huteuliwa na rais.
Hivyo rais kama anavurunda, hawezi kulaumu washauri.
Kwa sababu kawachagua yeye.
Akilaumu washauri atakuwa anavurunda mara tatu.
Kwanza kwa kuvurunda originally, whatever the issue was.
Pili kwa kuvurunda kwa kutochagua washauri makini.
Tatu kwa kulalamikia kwamba washauri wake aliowateua mwenyewe hawafai.
The buck stops with the president. Washauri hawajaomba kura kuingia Ikulu.
Tusitake kutetea upuuzi kwa kumficha rais nyuma ya kivuli cha washauri.
...Kiranga..issue sio kumficha rais nyuma ya kivuli cha washauri...issue ni je hivi inawezekanaje rais asimamie upuuzi..wakati (probably)ana washauri??..Ndio rais anavurunda(personally)...je inawezekanaje hili liendelee kutokea mara kwa mara??wakati ana washauri (kama kweli wapo)??..inawezekanaje watu waendelee kumwona anavurunda na wasichukue hatua??..haya ndio mambo mi najiuliza...otherwise simtetei rais...na sioni la kutetea.....
Washauri wa rais huteuliwa na rais.
Hivyo rais kama anavurunda, hawezi kulaumu washauri.
Kwa sababu kawachagua yeye.
Akilaumu washauri atakuwa anavurunda mara tatu.
Kwanza kwa kuvurunda originally, whatever the issue was.
Pili kwa kuvurunda kwa kutochagua washauri makini.
Tatu kwa kulalamikia kwamba washauri wake aliowateua mwenyewe hawafai.
The buck stops with the president. Washauri hawajaomba kura kuingia Ikulu.
Tusitake kutetea upuuzi kwa kumficha rais nyuma ya kivuli cha washauri.
Issue kubwa zaidi ya yote hayo ni, mtu kama huyu kawezaje kuwa rais katika nchi ya mamilioni ya watu?
Hilo la washauri anaweza kusikiliza anayotaka tu, au anaweza kuchagua washauri kwa kujuana zaidi ya taaluma.
Tusitake kumlaumu JK tu wakati hatuna utamaduni wa meritocracy na attention to detail karibu nchi nzima.
JK kapewa urais kwa kikubwa gani alichokifanya kabla?
Tatizo ni kwamba unafanya makosa yaleyale ambayo siku zote tunayafanya, umetolea mfano wa Marekani kwamba tuige wanavyofanya, bila kutambua kwamba Marekani na Tanzania ni jamii 2 zenye Tamaduni 2 tofauti, hivyo linalofanyika Marekani na kuonekana kama ni kitu cha kawaida haliwezi kufanyika kwetu!
Anayoyafanya yote Bw.Kikwete ni sawa kabisa na yanaendana na Utamaduni wetu na ndio jinsi tulivyo, na Watz karibu wote ambao wamezaliwa na kukulia TZ wangefanya hivyo hivyo, kama wangepata hiyo nafasi, na ndio maana hakuna jipya ktk kwa Viongozi wetu!
Unaongelea kuhusu ushauri, we tazama maisha yetu ya kawaida tu, Je tunaweza kutatua matatizo hata madogo tu? Hata magomvi tu ya kifamilia mpaka Wazee wasafiri kutoka vijijini ndio waje watupatanishe, na wote tuko hivyo!
Je Marekani watu wako hivyo?
Jiulize ni lini mara ya mwisho ulishawahi kumshauri Mtanzania wa kawaida na akakusikiliza? Au lini mtu alikufwata akakuomba ushauri wa jambo la maana?
Mtanzania wa kawaida anajua kila kitu, yeye ni mtaalamu wa kila kitu, sasa kwa nini Bw.Kikwete awe tofauti? Kwani Bw.Kikwete ametokea wapi?
Ndugu Kiranga umenena! Watu huwa wananishangaza sana wanaposema kuwa raisi anadanganywa na washuri wake. That's nosense na upumbavu usiovumilika.
Raisi anajua kusoma na kuandika. Raisi ana macho na masikio. Kwa maana hiyo anaweza kupambanua maswala muhimu yanayowagusa wananchi na taifa kwa ujumla.
Kwa mfano, issue ya utendaji kazi na ukusanyaji mapato wa bandari. Bandari ya Dar imeoza kwa rushwa, uzembe, wizi na ubadhirifu wa mali za watu, taasisi na pia serikali. Watu na taasisi za ndani na nje wanapiga kelele na kulalamika kila siku. Wateja na nchi jirani wameishia kutumia bandari ya Mombasa.
What to do ( Solution )
Kutatua tatizo hili sio kutoa amri kwa waziri husika na wakuu wa bandari halafu yeye anaenda likizo na baada ya mwaka ndio anarudi kuulizia kama ufumbuzi umepatikana. La hasha. Cha kufanaya ni kukutata na waziri husika na viongozi wake yeye pamoja na timu yake at least once a week. Brainstorm solution and strategies on how to tackle the problems and initiate those solutions one at a time. Akifanya hivyo kwa miezi sita hadi mwaka mzima kwa idara muhimu za serikali, watanzania tutaona matunda ya nchi yetu.
Wakuu wa idara watakaoshindwa kufuatilia utekelezaji, wote wanatemwa. Tuone kama hawatafanya kazi. Simple like that. Akitenga siku moja ya wiki kwa kazi ya ufuatiliaji kama hii badala ya kusafiri na kwenda kwenye misiba kila siku, tutakuwa mbali sana. Zaidi ya hapo, kila siku tutalaumu washauri wa raisi. Na kibaya zaidi, kama hao washauri wa raisi wanamdanganya kila siku, mbona bado wako kazini? Kwa nini wasifukuzwe kazi?
We need to change.
Khaa!maoni gani haya utamaduni unaozungumzwa hapa sio wa kikwere,kizaramo ni utamaduni wa kidemokrasia ambao Usa,uk ni founders,
Ndugu Kiranga umenena! Watu huwa wananishangaza sana wanaposema kuwa raisi anadanganywa na washuri wake. That's nosense na upumbavu usiovumilika.
Raisi anajua kusoma na kuandika. Raisi ana macho na masikio. Kwa maana hiyo anaweza kupambanua maswala muhimu yanayowagusa wananchi na taifa kwa ujumla.
Kwa mfano, issue ya utendaji kazi na ukusanyaji mapato wa bandari. Bandari ya Dar imeoza kwa rushwa, uzembe, wizi na ubadhirifu wa mali za watu, taasisi na pia serikali. Watu na taasisi za ndani na nje wanapiga kelele na kulalamika kila siku. Wateja na nchi jirani wameishia kutumia bandari ya Mombasa.
What to do ( Solution )
Kutatua tatizo hili sio kutoa amri kwa waziri husika na wakuu wa bandari halafu yeye anaenda likizo na baada ya mwaka ndio anarudi kuulizia kama ufumbuzi umepatikana. La hasha. Cha kufanaya ni kukutata na waziri husika na viongozi wake yeye pamoja na timu yake at least once a week. Brainstorm solution and strategies on how to tackle the problems and initiate those solutions one at a time. Akifanya hivyo kwa miezi sita hadi mwaka mzima kwa idara muhimu za serikali, watanzania tutaona matunda ya nchi yetu.
Wakuu wa idara watakaoshindwa kufuatilia utekelezaji, wote wanatemwa. Tuone kama hawatafanya kazi. Simple like that. Akitenga siku moja ya wiki kwa kazi ya ufuatiliaji kama hii badala ya kusafiri na kwenda kwenye misiba kila siku, tutakuwa mbali sana. Zaidi ya hapo, kila siku tutalaumu washauri wa raisi. Na kibaya zaidi, kama hao washauri wa raisi wanamdanganya kila siku, mbona bado wako kazini? Kwa nini wasifukuzwe kazi?
We need to change.
Kwanza Marekani wala Waingereza sio waanzilishi wa Demokrasia!
Pili nilichomaanisha ni kwamba huwezi kuiga 1-1 bila kwanza kuangalia Utamaduni wako ukoje! Kwa kifupi kinachowezekana Marekani kinaweza kikashindikana kabisa Tanzania kwa maana ya utofauti wa Utamaduni wa jamii hizo mbili!
Ndugu Kiranga umenena! Watu huwa wananishangaza sana wanaposema kuwa raisi anadanganywa na washuri wake. That's nosense na upumbavu usiovumilika.
Raisi anajua kusoma na kuandika. Raisi ana macho na masikio. Kwa maana hiyo anaweza kupambanua maswala muhimu yanayowagusa wananchi na taifa kwa ujumla.
Kwa mfano, issue ya utendaji kazi na ukusanyaji mapato wa bandari. Bandari ya Dar imeoza kwa rushwa, uzembe, wizi na ubadhirifu wa mali za watu, taasisi na pia serikali. Watu na taasisi za ndani na nje wanapiga kelele na kulalamika kila siku. Wateja na nchi jirani wameishia kutumia bandari ya Mombasa.
What to do ( Solution )
Kutatua tatizo hili sio kutoa amri kwa waziri husika na wakuu wa bandari halafu yeye anaenda likizo na baada ya mwaka ndio anarudi kuulizia kama ufumbuzi umepatikana. La hasha. Cha kufanaya ni kukutata na waziri husika na viongozi wake yeye pamoja na timu yake at least once a week. Brainstorm solution and strategies on how to tackle the problems and initiate those solutions one at a time. Akifanya hivyo kwa miezi sita hadi mwaka mzima kwa idara muhimu za serikali, watanzania tutaona matunda ya nchi yetu.
Wakuu wa idara watakaoshindwa kufuatilia utekelezaji, wote wanatemwa. Tuone kama hawatafanya kazi. Simple like that. Akitenga siku moja ya wiki kwa kazi ya ufuatiliaji kama hii badala ya kusafiri na kwenda kwenye misiba kila siku, tutakuwa mbali sana. Zaidi ya hapo, kila siku tutalaumu washauri wa raisi. Na kibaya zaidi, kama hao washauri wa raisi wanamdanganya kila siku, mbona bado wako kazini? Kwa nini wasifukuzwe kazi?
We need to change.