Chadema wanaudhi sana walichokifanya bunda na sengerema sijui tu, ngoja tuone bhana
Watu wa bunda inaonekana BEI YENU NI RAHISI SANA ! Kwann mpo hivi njaa zitawaua.
Mwaka 2010 mlimuuzia wasira jimbo pamoja na kuonyesha mgombea wenu wa CDMA KUSHINDA,
juzi tunaona wasira wanamtangaza ktk kula za maoni kwa ulinzi wa police hukohuko ndani ya CCM!!!
Jana ester bulaya wanamnyima form nec WASIRA FTNA, LEO TUNAONA VIONGOZI WA CDMA WANAJITOA WANARUDI CCM
HAMUONI KAMA MNANUNULIWA NYINYI??
Pius na ester nan ananguvu,?
Wasira anafanya hizo fitina akijua wazi kuwa ESTER ATASHINDWA KUMNUNUA WKT WA MATOKEO TUMIENI AKILI ATA KIDOGO JMN MNATIA HAIBU KBISA
ni kweli lakini wewe unazungumzia leo lakini wenye kazi hiyo ya siasa wanaangalia mpaka kesho kutwa...Niko nasahanga Jimbo la Mkuranga UKAWA wamemkata kijana Baraka Mwago wa Chadema na kuwapa CUF. Kijana Mwago alikuwa anajituma sana kwa gharama zake kuhamasisha watu kujiandikisha BVR, kupiga kampeni ya kuitambulisha Chadema na mwishowe akashinda kura za maoni ndani ya Chadema, lakini wamemukataaa!! Jimbo likienda CCM asilaumiwe mtu bali uamuzi mbaya ndani ya UKAWA.
ni kweli lakini wewe unazungumzia leo lakini wenye kazi hiyo ya siasa wanaangalia mpaka kesho kutwa...