Nani wa kumrithi TB Joshua na kuendeleza huduma yake katika bara la wapenda miujiza na injili ya mafanikio (prosperity gospel?

Ukitaka upewe kazi ngumu basi upewe kazi ya kumshauri mwanamke anayesali kwa Mwamposa ,kazi yenyewe iwe ni kumshauri aachane na ibada ya Mwamposa .

Kwanza atakuona kama umechanganyikiwa .

Pia kama mlikuwa marafiki na urafiki wenu unaishia hapo hapo.
 
Ndugu pole kwa yaliyokukuta na kwa uliyo yagundua kwa kukaa karibu na huyo mhungaji.Lakini wewe siyo wa kwanza na utakubaliana na mimi kadri nitakavyokueleza.
NImekutana na watu ameumizwa na hao wanaojiita watumishi wa Mungu mpaka hawataki kusikia habari za Wokovu.
Lakini kabla sijaendelea kuna jambo unatakiwa ulijue
Kuna vitu viwili hapa duniani vina nguvu sana hata kumfanya mwanadamu afanye jambo ambalo linaweza kuwashangaza wengine,vitu hivyo ni
1.Imani
2.Mapenzi
Kwa sababu ya Imani mtu anaweza akafanya hata mambo ya ajabu,kwa mfano,kulishwa majani akiamini yatamponya,kupuliziwa dawa ya mbu,kuua watu wasio amini anachokiamini n.k
Kwa sababu ya mapenzi pia mtu anaweza akakosana na wazazi wake,akamuua mwenzi wake kwa sababu ya wivu wa mapenzi n.k
Nikirudi kwako
Naamini huyo mtumishi uliyeishi naye ni wale wako kwenye makanisa ambayo ni kama linamilikiwa na mtu mmoja au mtu mmoja ndiyoi mwenye maamuzi ya mwisho i.e kanisa hilo siyo taasisi kam RC,TAG etc.
Wokovu wa kweli upo ni wewe tu ulikutana na tapeli wa kiroho na hao ndiyo Biblia imewaita "Mbwa mwitu ndani ya ngozi ya kondoo".Soma tabia za mbwa mwitu kisha utajua kama wewe ni kondoo unatakiwa uwe karibu na mbwa mwitu?
Nawahurumia sana watu wanaojiita wakristo wakati hawana muda wa kusoma Neno la Mungu na kulitafakari,watapotezwa.Yesu akilijua hili alitusihi mapema akasema "Neno la Mungu na lijae kwa wingi mioyoni mwenu",please note amesema Neno la Mungu lijae mioyoni mwenu siyo vichwani au kwenye akili yenu.
Mungu pia akasema "watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa"
Je maarifa yanapatikanaje?Biblia imesema "Kumcha Mungu ndiyo chanzo cha maarifa".Kwa hiyo kwa lugha nyingine tuinaweza sema "Watu wangu wanaangamizwa kwa kutokumcha Mungu".
Matapeli wa kiroho ni wengi sana kwa sasa,tuombe uzima kuna mada Mungu akinijalia niatileta nataka "nitupe jiwe gizani".
Unaweza ukaja PM tukajadili zaidi au kama kuna issue unataka kujua,lakini matepeli kama uliokutana nao wapo,na wataendelea kuwepo na ni Mungu ameruhusu wawepo kama ishara ya siku za mwisho.Asomaye na afahamu.
Regards
Aqua
 
Toka lini kanisa hurithiwa na mtu .hii ndio shida ya haya makanisa ya mifukoni .kanisa ni la mungu sio la mtu sasa Joshua kafa watu kuulizana Nani atarithi kanisa huo ni ujinga mkubwa Kam kweli kanisa la tb Joshua lilikuwa la mungu Basi litadumu daima lkn km ni shetani Basi linaenda kufa soon.
 
Nampendekeza gwajboy
 
Ukiwa masikini ukaingia haya makanisa uwezekano wa kuzidi kuwa hopeless na fukara kichwani ni mkubwa!
Most of riches on earth they never believe even the existence of God; Hii tu inatosha kukufanya ujue kwamba Ability ya Kupata mali na vitu vya dunia hii, ina utaratibu wa tofauti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…