mbwe
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 1,173
- 2,867
Ukitaka upewe kazi ngumu basi upewe kazi ya kumshauri mwanamke anayesali kwa Mwamposa ,kazi yenyewe iwe ni kumshauri aachane na ibada ya Mwamposa .
Kwanza atakuona kama umechanganyikiwa .
Pia kama mlikuwa marafiki na urafiki wenu unaishia hapo hapo.
Kwanza atakuona kama umechanganyikiwa .
Pia kama mlikuwa marafiki na urafiki wenu unaishia hapo hapo.