Nyamayao
JF-Expert Member
- Jan 22, 2009
- 6,966
- 2,379
ni rafiki yangu kipenzi, wamo ndoani mwaka wa 5 sasa, kuna cku frnd wetu mmoja alikuwa saloon, mdada wa saloon kama wanavyoeleweka tena wengi wao ni mapepe sana,akawa anapiga stori kwamba anatembea na mume wa mtu na makubaliano yao ni kwamba bao moja shs 30 elfu! ktk maongezi jamaa akamcal yupo hapo nje salon, huyo frnd wetu ktk kufatilia stori ikabidi na yeye ahamacke kumchungulia huyo jamaa anaezungumziwa, hamadi ni mr wa frnd wetu, akaja kutuelezea, cku nyingine wife akaenda mwenyewe pale saloon ktk kutengenezana nywele wife akamwambia yule mdada wa saloon" we c mjanja bwana unatembea na mume wangu kwa 30 elfu kwa bao lakini nakuhakikishia nitakuhamisha mji! ugomvi ukawa mkubwa mpaka watu wakaamulia, alivyorudi home mume akataka unyumba mke akamwambia mie kwangu ni laki kwa bao, mume akajua dili limebumburuka wakagombana vibaya na mume akakiri kweli alifanya hivyo na akaahidi kumwacha huyo kimada, baada ya muda kumbe wanaendelea na kimada, mke akashikwa na hacra na yeye akatafuta mtu wake nje, mapenzi yamekuwa moto moto, mke kanogewa na mume kashajua na anamfuataga huyo mkaka mara kibao kumletea fujo lakini mke amesema wateseke wote sio yeye tu, na unyumba ndani ndio mke hataki kumpa mpaka na yeye alipwe laki kwa bao, jana frnd ananical ananiambia wametengana na mr wake kwa kisa hiki mana mr wake anasema wife anamdharau na wife anasema "ulianza wewe mie namalizia"......nani wa kulaumiwa?......