bakarikazinja
Senior Member
- Nov 9, 2009
- 177
- 8
Kwani tatizo hili limeanza kuwa kubwa sana na vilevile limeanza kuleta athari kubwa sana kwa jamii mwanzoni nilidhania wa kulaumu ni historia ya nchi lakini sasa nimejua hilo tu hali toshi hivyo wana jamii nalileta kwenu hilo.