Nani unamu-admire hapa JF?

Sasa huyo ni mtani wangu sana sema tu akashindwa kunijua mpaka baada ya kubadil chaka ndio maana huwa namtania sana πŸ˜‚πŸ˜‚.but Is a gud person
Ukibadili chaka hutoniona sababu nakuaga mgumu kwa 'member' 'senio member' na watu waliojoin '23 '24 kuendelea

Najua tu ni kanzu mpya hii maybe siku tushawahi kukwazana anataka kulipa kisasiπŸ˜‚
 
Ukibadili chaka hutoniona sababu nakuaga mgumu kwa 'member' 'senio member' na watu waliojoin '23 '24 kuendelea

Najua tu ni kanzu mpya hii maybe siku tushawahi kukwazana anataka kulipa kisasiπŸ˜‚
Huwa napandia ngazi kwa nyuzi zile ambazo hazibagu mpaka niwe expert ndio watu kama nyie tunaanzana hapoπŸ˜‚πŸ˜‚
 
Umenirudisha home Ong'wise nenda pale SIMA ukale ugali na Maboboto 🀣🀣🀣
 
Nilidhani Wazee tumetengwa πŸ€—

Barikiwa sana πŸ™
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…