Nani unamu-admire hapa JF?

Nani unamu-admire hapa JF?

Pamoja sana kaka, you have been a truly brother of mine.
Vipi godfather series Usha iangalia??
Kijana,mimi napenda kuangalia mitetemeko ya shemeji yako na huwa akiwa karibu namfuata kila kona ya nyumba nyuma nyuma ,sipendi uzito wa mwili na akili ni kupunguza tu 😅.

Hizo vitu nyingine nakuachia wewe.
 
Kijana,mimi napenda kuangalia mitetemeko ya shemeji yako na huwa akiwa karibu namfuata kila kona ya nyumba nyuma nyuma ,sipendi uzito wa mwili na akili ni kupunguza tu 😅.

Hizo vitu nyingine nakuachia wewe.
Familia ime pata hasara, Yani tuli uza ng'ombe tuka peleka ng'ombe shule🤓🤣
 
Kijana,umekua sasa

Vuta kabinti hapo akusaidie kutoa hasira,maneno machafu,kukera watu

Ndio maana mkorofi sana kumbe ni hasira za kutopata ile kitu kwa wakati.
Kwani kuoa ni lazima au option tu??.

Mimi ni mtu humble Sana hapa Duniani, ni vile na hype hype tu jf🤣
 
Back
Top Bottom