Nani unamu-admire hapa JF?

Nani unamu-admire hapa JF?

Aisee Mimi kipindi hicho nilikuwa nafanya kazi kwenye kampuni inayotoa huduma za Internet nilikuwa Sina shida Kabisa. Tatizo kuipata JF kwenye simu ilikuwa changamoto mpaka umpigie Maxence Melo mkutane Steers pale Kijitonyama akuunganishe 🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Kweli ilikua mpaka Maxi a-assist?????😲😲 Sijawahi kujua hiyo!😆😆

Mi nakumbuka nilikua sipendi kutumia kwenye simu kwasababu scree zilikua ndogo alafu kazi ku-navigate.🥴
 
Hilo neno mpaka ukiliandika lilikuwa Lina display ******
Yani 😆😆😆
Ila watu walimbuni binu ujumbe ufike!
Nadhani lazima kuna muda lilikua the most used word humu.

Heheheh...inawezekana ndo anaukaribia ama ameshaingia, maana nimekuja kugundua baadhi tulikua bado wadogo kiumri enzi zile. Either tulikua tunamalizia uteen au tunachezea early 20s.

Tupewe zawadi kweli...sio kwa loyalty hii.🙂
 
Yani 😆😆😆
Ila watu walimbuni binu ujumbe ufike!
Nadhani lazima kuna muda lilikua the most used word humu.

Heheheh...inawezekana ndo anaukaribia ama ameshaingia, maana nimekuja kugundua baadhi tulikua bado wadogo kiumri enzi zile. Either tulikua tunamalizia uteen au tunachezea early 20s.

Tupewe zawadi kweli...sio kwa loyalty hii.🙂
Sio Crap tu hata mheshimiwa Jakaya Kikwete kabila lake lilikuwa linatajwa sana mpaka likawa nali Lina display **** lakini Baba Mchungaji Masanilo akawa anaandika M.kwele 🤣🤣🤣
 
Sio Crap tu hata mheshimiwa Jakaya Kikwete kabila lake lilikuwa linatajwa sana mpaka likawa nali Lina display **** lakini Baba Mchungaji Masanilo akawa anaandika M.kwele 🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Na Rev alikua mchokozi jamani. Umkute siasani huko sasa....😁

Na yeye aliamua kujitoa kama partner wangu AD.
 
Kwenye huu uzi wakongwe wengi hawapo teena
Kuna mkongwe mmoja alikuwa ni Director wa Finance and Administration. Gulf Oil group halafu nilikuwa namdiss sana siku anakuja Tanzania akaandika na namba zake nikajipendekeza kumpigia , Kwanza simu ilipokewa na msaidizi wake akaniambia Dr ana kikao na Waziri wa wizara Fulani njoo Serena Hotel kwenda pale nikakuta Ulinzi kama wote wacha nile Kona 🤣🤣🤣🤣
Utoto bhana halafu nilikuwa around 21 or 22's hivi
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Na Rev alikua mchokozi jamani. Umkute siasani huko sasa....😁

Na yeye aliamua kujitoa kama partner wangu AD.
Rev siku anarudi Tanzania akanikaribisha pale NSSF JB Bellmonte Hotel acha tuzikunywe halafu alikuwa ni Dr UK huko lakini vituko vyake humu unaweza ukadhani ni Kijana wa Uswahilini 🤣🤣🤣
 
Mbona tupo na wengine tulibadili Id kutokana na changamoto tu tupo kibao na Wala haturingi
Kama mpo inapendeza saana, wengine naamini hatunao teena.

Kampuni ya nokia ishukuliwe saana maana simu zao za button ndo nilikuwa naingilia humu kuanzia mwaka 2010 mpaka nilipo nilipojiunga rasmi.

Zamani kulikuwa kuzuri.
 
Kuna mkongwe mmoja alikuwa ni Director wa Finance and Administration. Gulf Oil group halafu nilikuwa namdiss sana siku anakuja Tanzania akaandika na namba zake nikajipendekeza kumpigia , Kwanza simu ilipokewa na msaidizi wake akaniambia Dr ana kikao na Waziri wa wizara Fulani njoo Serena Hotel kwenda pale nikakuta Ulinzi kama wote wacha nile Kona
Utoto bhana halafu nilikuwa around 21 or 22's hivi
ukiskia JF home GT , ndo ilikua kipindi hicho .
 
Watu wa kale na zama zenu
Mkuu ilikuwaga hatari sana humu 😂
Kuna siku tupo Mikocheni na Mkurugenzi wa JF ghafla tutakutana na Mh Nape kipindi hicho alikuwa ni Mwenezi wa Chama alitukata macho utadhani alitugundua kama sisi ni Wana JF labda kama alimjua Maxence na kipindi hicho Maxence alikuwa na makesi kibao mahakama ya Kisutu 😂😂😂
 
Rev siku anarudi Tanzania akanikaribisha pale NSSF JB Bellmonte Hotel acha tuzikunywe halafu alikuwa ni Dr UK huko lakini vituko vyake humu unaweza ukadhani ni Kijana wa Uswahilini 🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Rev ni kichwa haswa!!!Na ucheshi kama wote.

Nimependa hiyo ya Director! Power ya kuwa anonymous! 😁 But, usingekula kona bana...
 
Back
Top Bottom