Nani unamu-admire hapa JF?



The DP... Thanks dear, really appreciate your affection...
Pamoja saana from Asha D
:flypig:

 
Jamaa walikuwa wanachakachua sredi namie nikaona isiwe tabu "If you cant beat them Join them" (Source: Lucky Dube), Lakini sasa hivi naona wamehamia PM wanadanganyana.

Na jana nilimuona Lizzy anasema anachukia wanaochakachua hii thread lakini leo................ngoja nisimalizie asije anza kunichukia na kunipenda hapo hapo
 


Gaga I love you (and that is genuine) not bcoz niko kwenye list ya marafiki.....
You are one of the most carefree person hapa jamvini
:A S-heart-2:huna pretense... now that is a good person period!:A S-heart-2:
 


Rutashubanyuma so like you to put it in a formal way...lol

Thank you... I am appreciative saaana.

Take care...

:smile-big:
 
Nawapenda wote wanaoshindana kwa hoja. My favourites ni Dena Amsi, Michelle,Asha D,Preta,First Lady,The Finest,Gaga and You Lizy. Nawachukia wote wanaowatukana wenzao wakikosoa post zao.


Ennie asante Dearest... nashukuru kua katika list ya favourites

Hii enevitably inanifanya nikupende pia... Thanx...:A S-rose:
 
Na jana nilimuona Lizzy anasema anachukia wanaochakachua hii thread lakini leo................ngoja nisimalizie asije anza kunichukia na kunipenda hapo hapo

Aaaargh Lizzy asikushtue sana. Lizzy siku akikosa PM yangu anakuwa anaropokwa tu hata haelewi anaongea nini! Siku ukiona Lizzy anaongea mapointi basi ujue siku hiyo Klorokwini kamPM Lizzy. Asha D atathibitisha hili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…