Mandla Jr.
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 3,099
- 630
Wa Tanzania wenzangu,
Ninajiuliza nani anayefaa kukabidhiwa Nchi ya Tanzania mwaka 2015.
Nchi yetu Tanzania ina kila kitu ambacho Nchi yeyote inakihitaji ili iweze kusonga mbele. Lakini sisi tumeshindwa.! Tatizo ni Viongozi wetu, uzalendo au Elimu yetu? Nini hatuna rasilimali, ardhi, siasa safi, amani, viongozi au nguvukazi? Tatizo liko wapi?????
Swali la mwisho linanijia NANI tumkabidhi Nchi yetu Uchaguzi ujao 2015??
Ninajiuliza nani anayefaa kukabidhiwa Nchi ya Tanzania mwaka 2015.
Nchi yetu Tanzania ina kila kitu ambacho Nchi yeyote inakihitaji ili iweze kusonga mbele. Lakini sisi tumeshindwa.! Tatizo ni Viongozi wetu, uzalendo au Elimu yetu? Nini hatuna rasilimali, ardhi, siasa safi, amani, viongozi au nguvukazi? Tatizo liko wapi?????
Swali la mwisho linanijia NANI tumkabidhi Nchi yetu Uchaguzi ujao 2015??