NANI Tumkabidhi Nchi yetu ya Tanzania iliyojaa Neema TELE??

Uongozi hata wewe unaweza tatizo ni katiba mkuu katiba ikiwa legelege hata tukishushiwa malaika nchi bado itakuwa hovyo tuwatizame wenzetu wachina,wamarekani wanaongozwa na katiba nzuri zinazoangalia nchi kwanza vyama baadae hapa kwetu kiongozi anabaka, wanauwa, mawaziri waliopewa dhamana kwenye wizara zao kunaubadhirifu wa kutisha wala hawapati shida kutokana na katiba inawalinda wakati china wangeshanyongwa zamani nchi naamini itasimama kama tutaweka utaifa mbele na kiwa na moyo wa uzalendo katiba thabiti na imara ndio moyo wa nchi
 
Unatafuta kinyeo cha kuku wakati unaona upepo unavuma? Dr. Slaa hana mpinzani!
 
Wa Tanzania wenzangu,
Ninajiuliza nani anayefaa kukabidhiwa Nchi ya Tanzania mwaka 2015.

Nchi yetu Tanzania ina kila kitu ambacho Nchi yeyote inakihitaji ili iweze kusonga mbele. Lakini sisi tumeshindwa.! Tatizo ni Viongozi wetu, uzalendo au Elimu yetu? Nini hatuna rasilimali, ardhi, siasa safi, amani, viongozi au nguvukazi? Tatizo liko wapi?????

Swali la mwisho linanijia NANI tumkabidhi Nchi yetu Uchaguzi ujao 2015??
tuwakabithi chadema maana tuliowakabithi hatuwaamini tena
 
Back
Top Bottom