mzee wa funny
JF-Expert Member
- Mar 31, 2015
- 296
- 65
Habari zenu wana jf.nmeingia kwenye sintofahamu baada ya kumpenda dada mmoja , nilipomwambia akaniambia nisubiri atanijibu cha ajabu akaja mama yake mzazi akaniambia mwanangu nimemlea kwenye maadili mema yote kwa haraka zangu nikamjibu asante mama , mmama akaendelea kunijulisha mwanangu sitamruhusu kuwa na mwanaume asiyekamilika lazima nihakikishe aliyempata ni kidume kweli ,akaniuliza je wewe ni kweli kidume . sikumuelewa alimaanisha nn lkn nikamjibu ndiyo mama. akasema usiniite mama kabla ya uhakiki kama wewe ni kidume . akaendelea sasa kuna watu wawili watakao kuhakiki harafu watanipa majibu nami nitakuja kukuhakiki kwa mara ya mwisho sawa ? nikamjibu sawa . baada ya siku mbili akaja dada yake mkubwa na yule mama akaniambia nimetumwa na mama neo nikamjibu ndio mama akaniambia twende chumbani , tulipofika mama kavua nguo zote akasema unaanza uhakiki namba moja ukumaliza hii atakuja shemeji yako mtarajiwa ukutufikisha wote kileleni ndo mama mtu atakuja kumaliza sasa mwisho uliyempenda harafu utachagua ni nanai anayekufaa ila kifupi shemeji du ni noma ijui nimpende nanai sasa wajamani? naombeni ushauri:msela: