Kilemakyaaro
JF-Expert Member
- Jul 19, 2016
- 5,050
- 5,079
kifungu gani cha katiba kinsema hivyoUwenda ikawa kweli kwa sababu 2020 rais wetu magufuli halafu akimaliza miaka yake hiyo mitano ndio atashika mwingine ila nazani ni huyu wa zanzibar ndio atashika kwa sababu sio sisi zamu yetu ni wa zanzibar sasa.
So makonda na wengine sijui taratibu ya nchi hii nikupeana zamu bara visiwani hii miaka 10 bara sasa nivisiwani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Au Mr Job.2025 Huenda akawa Mgogo mmoja ambae Ni Prof wa Sheria
Kwa hiyo mna zamu ngapi?zinaendaje?Toka Ben ,JK mpaka mchungaji Jiwe.inabid usaidiwe.Uwenda ikawa kweli kwa sababu 2020 rais wetu magufuli halafu akimaliza miaka yake hiyo mitano ndio atashika mwingine ila nazani ni huyu wa zanzibar ndio atashika kwa sababu sio sisi zamu yetu ni wa zanzibar sasa.
So makonda na wengine sijui taratibu ya nchi hii nikupeana zamu bara visiwani hii miaka 10 bara sasa nivisiwani.
Sent using Jamii Forums mobile app
huyu unaemsema RC WA DAR ndo huyu unaemsema au kuna mwingine?Umofia kwenu wadau wa JF siasa.
Tetesi zipo japo mnaweza kubisha ila mtanikumbuka 2025, kuwa wagombea urais ndani ya CCM watakaotikisa ni Dr Medard Kalemani waziri wa Nishati, RC Makonda na Dr shein Rais wa sasa wa Zanzibar.
Habari za udaku kutoka ktk medani ya siasa nchini inamtaja Dr shein kuwa mtu mwenye sura ya upole lakini anayeweza kuhimili siasa za JMT kwani ni Makini na mkali mno tofauti tumuonavyo.
Waziri Dr Kalemani anatajwa kubebwa na sifa ya usambazaji umeme kwa vijiji vyote hadi kwenye tembe huku Tanzania ikiwa nchi ya kwanza Africa kutoa huduma hiyo kwa wananchi wake.
RC Dar Paul Makonda anatajwa kuwa ni mtu mbunifu ktk uongozi wa kutatua shida za watu na mtu mwenye uvumilivu zaidi ya hata Lowassa kutokana na kuhimili kejeli na matusi kutoka kwa watu wanaomchukia waliotapakaa kote nchini. Inadaiwa Dar ama Mzizima haijawahi na haitakaa impate RC kama huyu.
Chanzo changu nyeti serikalini kimenijuza Rais yupo hapo juu miongoni mwa watatu na nasubiri Uzi huu kufukuliwa November 2025.
God have Mercy on us ..............!!Umofia kwenu wadau wa JF siasa.
Tetesi zipo japo mnaweza kubisha ila mtanikumbuka 2025, kuwa wagombea urais ndani ya CCM watakaotikisa ni Dr Medard Kalemani waziri wa Nishati, RC Makonda na Dr shein Rais wa sasa wa Zanzibar.
Habari za udaku kutoka ktk medani ya siasa nchini inamtaja Dr shein kuwa mtu mwenye sura ya upole lakini anayeweza kuhimili siasa za JMT kwani ni Makini na mkali mno tofauti tumuonavyo.
Waziri Dr Kalemani anatajwa kubebwa na sifa ya usambazaji umeme kwa vijiji vyote hadi kwenye tembe huku Tanzania ikiwa nchi ya kwanza Africa kutoa huduma hiyo kwa wananchi wake.
RC Dar Paul Makonda anatajwa kuwa ni mtu mbunifu ktk uongozi wa kutatua shida za watu na mtu mwenye uvumilivu zaidi ya hata Lowassa kutokana na kuhimili kejeli na matusi kutoka kwa watu wanaomchukia waliotapakaa kote nchini. Inadaiwa Dar ama Mzizima haijawahi na haitakaa impate RC kama huyu.
Chanzo changu nyeti serikalini kimenijuza Rais yupo hapo juu miongoni mwa watatu na nasubiri Uzi huu kufukuliwa November 2025.
Asad tena? Huyu hana hulka za kisiasa.Tanzania inahitaji watu makini kama Lissu au Assad. Wengine wote ni wale wale. I wish assad astaafu alafu aje upinzani 2020 awe mgombea mwenza na Tundu lisu. Apo hata wakiibiwa kura mimi binafsi nipo tyar kufight kufa na kupona had haki ipatikane.
Sent using Jamii Forums mobile app
Elimu yakeAtakuwa Ibrahim Yusuf Mazimbwe, yeye yuko Morogoro analima nyanya na matikiti maji muda huu, Nyanya zote na Matikiti yanayoliwa TZ anamkono wake, amejizolea umaarufu mkubwaaa
Wanabisha wajuaji humu.Rais 2025 ni Makonda ipo wazi!
wakati ukuta.
Wewe hutaamini lakini subiriDaah hakika hii nchi ina watu dhaifu katika mtiririko wa kufikiri...
Yaani mtu mzima unakaa chini na kumfikiria DAB aka Paulo Makonda kuwa itatokea siku moja agombee urais..
Ndugu yangu hata kama ni ndoto.. ukianza tu kiota jitahidi ushtuke na uamke haraka haraka..
Na kama ni fikra inakuijia tikisa kichwa..
Make ikikutokea ujue sasa unaanza kuwaza UJINGA na bila shaka utakuwa sehemu ya huo ujinga!
KWELIIIIBashitee awe raisi!!hii nchi itakuwa nchi ya vichaaa.tuliyenaye katukifu!!
Kwa taarifa yako watang'aa na huenda moja wao akaukwaa urais huku Magufuli akirudi Chato kula pension.Hizi tetesi sio za mtu anaye. Jitambuwa pia haujuwi mfumo. Sio makonda Wala kaleman hawajawahi fikia vigezo vya Magufuli hawa ni wakawaida sana na Uwenda watapotea ktk siasa baada ya mkuu. Take from me
Sina ila wakiwa hai tarajieni hayo majina.Unahakika hao watakuwa hai mpaka 2025.Labda kuna tutakae muaga kabla ya 2025
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuhusu hii ya bara na pwani cna hakika nayo sana maana alipotoka Mkapa akaja Jakaya wote hao ni bara ila nnachokijua na nina uhakika nacho raisi ajae lazma awe muislam Nyerere,Mwinyi,Mkapa,Jakaya,Magufuli....?Uwenda ikawa kweli kwa sababu 2020 rais wetu magufuli halafu akimaliza miaka yake hiyo mitano ndio atashika mwingine ila nazani ni huyu wa zanzibar ndio atashika kwa sababu sio sisi zamu yetu ni wa zanzibar sasa.
So makonda na wengine sijui taratibu ya nchi hii nikupeana zamu bara visiwani hii miaka 10 bara sasa nivisiwani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Usinitikane, najua huwapendi ila Rais yupo hapo.Hivi nikikuita mpuuzi utalalamika? Yaan Urais ushaakua cheap kias hicho? Hata Kalemani? Makonda? Akili zako zina akili kweli au umetumwa kupima upepo? KUWA NA ADABU
Sent using Jamii Forums mobile app