Nani ni nani urais wa JMT 2025 kati ya Dr. Kalemani, Paul Makonda na Dr. Shein?

Uwenda ikawa kweli kwa sababu 2020 rais wetu magufuli halafu akimaliza miaka yake hiyo mitano ndio atashika mwingine ila nazani ni huyu wa zanzibar ndio atashika kwa sababu sio sisi zamu yetu ni wa zanzibar sasa.
So makonda na wengine sijui taratibu ya nchi hii nikupeana zamu bara visiwani hii miaka 10 bara sasa nivisiwani.

Sent using Jamii Forums mobile app
kifungu gani cha katiba kinsema hivyo
 
Uwenda ikawa kweli kwa sababu 2020 rais wetu magufuli halafu akimaliza miaka yake hiyo mitano ndio atashika mwingine ila nazani ni huyu wa zanzibar ndio atashika kwa sababu sio sisi zamu yetu ni wa zanzibar sasa.
So makonda na wengine sijui taratibu ya nchi hii nikupeana zamu bara visiwani hii miaka 10 bara sasa nivisiwani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo mna zamu ngapi?zinaendaje?Toka Ben ,JK mpaka mchungaji Jiwe.inabid usaidiwe.
Uongozi wa nchi kikatiba hauna zamu kinachoangaliwa ni sifa za mhusika tu.ingekuwa hivyo Nyerere asingemwandaa sokoine,pili baada ya mkapa angekuwa mzanzibar .
 
Umofia kwenu wadau wa JF siasa.

Tetesi zipo japo mnaweza kubisha ila mtanikumbuka 2025, kuwa wagombea urais ndani ya CCM watakaotikisa ni Dr Medard Kalemani waziri wa Nishati, RC Makonda na Dr shein Rais wa sasa wa Zanzibar.

Habari za udaku kutoka ktk medani ya siasa nchini inamtaja Dr shein kuwa mtu mwenye sura ya upole lakini anayeweza kuhimili siasa za JMT kwani ni Makini na mkali mno tofauti tumuonavyo.

Waziri Dr Kalemani anatajwa kubebwa na sifa ya usambazaji umeme kwa vijiji vyote hadi kwenye tembe huku Tanzania ikiwa nchi ya kwanza Africa kutoa huduma hiyo kwa wananchi wake.

RC Dar Paul Makonda anatajwa kuwa ni mtu mbunifu ktk uongozi wa kutatua shida za watu na mtu mwenye uvumilivu zaidi ya hata Lowassa kutokana na kuhimili kejeli na matusi kutoka kwa watu wanaomchukia waliotapakaa kote nchini. Inadaiwa Dar ama Mzizima haijawahi na haitakaa impate RC kama huyu.

Chanzo changu nyeti serikalini kimenijuza Rais yupo hapo juu miongoni mwa watatu na nasubiri Uzi huu kufukuliwa November 2025.
huyu unaemsema RC WA DAR ndo huyu unaemsema au kuna mwingine?
kama ni huyu unapoteza muda wako.. ni nani atakaekubali mtu mwenye fojari ya cheti cha elimu cha KUFOJI?
utasababisha chama kitakacho mteuwa kipoteze nafasi hiyo maana atapingwa kwa kufoji na akibisha atatakiwa athibitishe elimu yake ya FORM FOUR na pia jina lake halisi ndio vitakavyoitia hasara chama kitakacho msimamisha huyu msanii najua kile chama cha matukio ndio kuna baadhi yao wenye kufanana tabia za kibashite ndio watawaza kumsimamisha hii itakuwa powwa sana maana itakuwa kama kumsukuma mlevi.
 
Umofia kwenu wadau wa JF siasa.

Tetesi zipo japo mnaweza kubisha ila mtanikumbuka 2025, kuwa wagombea urais ndani ya CCM watakaotikisa ni Dr Medard Kalemani waziri wa Nishati, RC Makonda na Dr shein Rais wa sasa wa Zanzibar.

Habari za udaku kutoka ktk medani ya siasa nchini inamtaja Dr shein kuwa mtu mwenye sura ya upole lakini anayeweza kuhimili siasa za JMT kwani ni Makini na mkali mno tofauti tumuonavyo.

Waziri Dr Kalemani anatajwa kubebwa na sifa ya usambazaji umeme kwa vijiji vyote hadi kwenye tembe huku Tanzania ikiwa nchi ya kwanza Africa kutoa huduma hiyo kwa wananchi wake.

RC Dar Paul Makonda anatajwa kuwa ni mtu mbunifu ktk uongozi wa kutatua shida za watu na mtu mwenye uvumilivu zaidi ya hata Lowassa kutokana na kuhimili kejeli na matusi kutoka kwa watu wanaomchukia waliotapakaa kote nchini. Inadaiwa Dar ama Mzizima haijawahi na haitakaa impate RC kama huyu.

Chanzo changu nyeti serikalini kimenijuza Rais yupo hapo juu miongoni mwa watatu na nasubiri Uzi huu kufukuliwa November 2025.
God have Mercy on us ..............!!
 
Atakuwa Ibrahim Yusuf Mazimbwe, yeye yuko Morogoro analima nyanya na matikiti maji muda huu, Nyanya zote na Matikiti yanayoliwa TZ anamkono wake, amejizolea umaarufu mkubwaaa
 
Ramli Chonganishi.
Ila kwakua umesema Ni tetesi zinaweza kubadilika muda wowote
 
Mtoa post acha dharau kabisa................ kweli makonda zero brain aongeze taifa jiji limemshinda amebaki kuita wanawake single na wajane hana lolote huyo ameshiliwa na gundi siku mvua kali ikinyesha lazima ilainike na itoke
 
Daah hakika hii nchi ina watu dhaifu katika mtiririko wa kufikiri...
Yaani mtu mzima unakaa chini na kumfikiria DAB aka Paulo Makonda kuwa itatokea siku moja agombee urais..
Ndugu yangu hata kama ni ndoto.. ukianza tu kiota jitahidi ushtuke na uamke haraka haraka..
Na kama ni fikra inakuijia tikisa kichwa..
Make ikikutokea ujue sasa unaanza kuwaza UJINGA na bila shaka utakuwa sehemu ya huo ujinga!
Wewe hutaamini lakini subiri
 
Hizi tetesi sio za mtu anaye. Jitambuwa pia haujuwi mfumo. Sio makonda Wala kaleman hawajawahi fikia vigezo vya Magufuli hawa ni wakawaida sana na Uwenda watapotea ktk siasa baada ya mkuu. Take from me
Kwa taarifa yako watang'aa na huenda moja wao akaukwaa urais huku Magufuli akirudi Chato kula pension.
 
Uwenda ikawa kweli kwa sababu 2020 rais wetu magufuli halafu akimaliza miaka yake hiyo mitano ndio atashika mwingine ila nazani ni huyu wa zanzibar ndio atashika kwa sababu sio sisi zamu yetu ni wa zanzibar sasa.
So makonda na wengine sijui taratibu ya nchi hii nikupeana zamu bara visiwani hii miaka 10 bara sasa nivisiwani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuhusu hii ya bara na pwani cna hakika nayo sana maana alipotoka Mkapa akaja Jakaya wote hao ni bara ila nnachokijua na nina uhakika nacho raisi ajae lazma awe muislam Nyerere,Mwinyi,Mkapa,Jakaya,Magufuli....?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bashite na vyeti vyake feki akamuongoze nani? Ukuu wa mkoa tu, kashikizwa pale hatujui wana ajenda gani na jiwe. Huyu alitakiwa awe jela kwa ugushifu wa taaluma.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom