Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,224
- 6,467
- Thread starter
- #101
Wewe wasemandugu nafikiri ungewahi hospital , nakuona kama "tisa kasorobo" , yani huyu Mzee hata hajaanza ngwe ya pili mmeanza kuota tayari kwakuwa mnalima kwa meno sasa? huu kama si uchuro kwake sijui tuite ni nini! naamini utakuwa umetumwa tu wewe hakuna kazi ya kanisa!! Rais ajae ni muislam na ni kutoka bara na ni mtu wa makamo mwenye hekima na busara, that is what is see it fit! uliowaja mimi simuoni hata mmoja, Urais si rahisi kama kuendesha Bajaj kwa akili zako! ndugu yangu umetukosea sana , huku ni kujaza tu server na kusumbua wasomi wa JF!