kwani mkuu una regrets zozote kuhusiana na namna ulivyokuwa na mawasiliano na baba yako? haukuwa karibu naye?Natamani kungekuwa na uwezo wa kunena /kusocialize na wafu ningempigia baba million Times a day...
Ni miaka 20 Sasa Tangu umetuacha...
Juzi mama Alikuwa hapa Nyumbani kwangu kusheherekea mwaka mpya ...Mazungumzo yote yalikuwa kukuhusu baba ...
Kiukweli Mimi ...
Maggie,Benson na James Tumekumiss Sana.
Pumzika kwa Amani.
Sina regrets zozote mkuu...natamani Tuu angekuwepo/kungekuwa na uwezo wa kuzungumza nae .. nimwambie baba nimekuwa mkubwa Sasa, nimeachive baadhi ya Mambo ulivyokuwa ukitamani kila siku niyafikie.kwani mkuu una regrets zozote kuhusiana na namna ulivyokuwa na mawasiliano na baba yako? haukuwa karibu naye?
oh kumbe basi sawa mkuu,Sina regrets zozote mkuu...natamani Tuu angekuwepo/kungekuwa na uwezo wa kuzungumza nae .. nimwambie baba nimekuwa mkubwa Sasa, nimeachive baadhi ya Mambo ulivyokuwa ukitamani kila siku niyafikie.
Tulikuwa na desturi kila jumapili Tunakwenda sehemu kwenye fukwe ya ziwa fulani .. then Tunapiga stori... Alikuwa Zaidi ya baba ,Alikuwa rafiki.
And so many things mkuu...
Nilikuwa mdogo Ila Mengi nayakumbuka.
Mkuu mbona unajihami hahahahahh utafikiri umeona marking schemeunaweza ukawa mbali na mtu lakini ukahisi ukaribu naye kwa namna anavyohakikisha mnakuwa na mawasiliano ya mara kwa mara na yenye afya na unaweza ukawa karibu na mtu lakini mawasiliano yakawa mabovu na hafifu na yasiyo na afya,kwa hiyo inategemea
nimejibu kulingana na heading ya thread yako na sio picha uliyoambatanisha
nimeona heading na picha havirelate ndo maana ikabidi niweke wazi mkuuMkuu mbona unajihami hahahahahh utafikiri umeona marking scheme
Mkuu kwenye picha hao watu watatu wako karibu lakini hawaoni umuhimu wa ukaribu wao badala yake wanachat na watu ambao wako mbali nao- ndiyo maana nikauliza nani ni wa muhimu uliyenaye karibu au aliyeko mbali?nimeona heading na picha havirelate ndo maana ikabidi niweke wazi mkuu
ah okay sawa mkuuMkuu kwenye picha hao watu watatu wako karibu lakini hawaoni umuhimu wa ukaribu wao badala yake wanachat na watu ambao wako mbali nao- ndiyo maana nikauliza nani ni wa muhimu uliyenaye karibu au aliyeko mbali?