Nani ndo GOAT wa Rhumba?

Muziki kila mtu anaupokea kwa ladha yake , mimi binafsi nasikiliza nyimbo za Pepe kalle mpaka leo.
Kuna swala la kuupenda muziki, halafu kuna swala la umaarufu. Hivi ni vitu viwili tofauti. Zamani kulikuwa na rekodi ya mizoki gani inauzwa zaidi na inakaa kwenye chat. Joseph Kabasele amekuwa kwenye chat kwa miaka mingi na nyimbo nyingi ukimfananisha na Pepe Kalle. Pia Pepe Kalle ni generation tofauti na kina Franco, kwahiyo nyimbo zake pia ni tofauti.

Tukumbuke kuwa huku East Africa nyimbo za Congo zilianza kupata umaarufu miaka ya 70 baada ya serikali ya Mobutu kuyumbisha uchumi. Kwahiyo wanamuziki waliokuwa maarufu kabla ya miaka ya 70 hawana umaarufu sana East Africa.
 
kama unajua rhumba vizuri basi waliopo apo juu ndo watu wazito wa rhumba wote waliopo apo juu ndo waanzilishi wa mindoko ya rhumba, Ferre gola na fally izo rhumba za studio hazina uzito
 
kama unajua rhumba vizuri basi waliopo apo juu ndo watu wazito wa rhumba wote waliopo apo juu ndo waanzilishi wa mindoko ya rhumba, Ferre gola na fally izo rhumba za studio hazina uzito
Fally usilinganishe na Ferre, Baada ya Tanzania kupoteza Ushawishi kutokana na Utekaji na Umasikini, Mara kadhaa nafuata Rhumba Nairobi au Lusaka nafahamu Rhumba vizuri mno
 
unajua Franco ashakuja bongo mara kadhaa kuperform
 
1.Franco Luambo Makiadi, kisha wanafata wengine

Madilu System nyimbo zake mwishoni anamsifu sana huyu gwiji
 
Mimi napenda Zaiko Langalanga, na hapo juu baadhi ya nyimbo kidogo za Franco na huku kwa Tabuley napenda Nyimbo za Faya tess
unapenda mishangazi 🤣 🤣 aya chagua mmoja apo juu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…