ameline
JF-Expert Member
- Jan 8, 2013
- 2,292
- 1,152
Kuna jamaa alitaka kumuumiza mpenzi wake kwa masihara tu, kwakua wapo mbali mbali mikoani, huyo jamaa akamwandikia mpenzi wake,(nimepata mpenzi mwingine wewe sikutaki tena! kwahiyo ile picha yangu niliyokupa nirudishie!!!!)Basi yule dada akalia sanaaa!!! Kwa uchungu akatafuta picha za wanaume kama 10 tofauti tofauti hivi! Akamtumia huyo jamaa na kumweleza; (Nimekusahau, hebu tafuta picha yako na unirudishie za mabwana zangu!!!!) Heeee jamaa kwa uchungu si akajitia kitanzi! Je mwenye makosa ni nani hapo jamani!!?