Nani Mwenye Haki?

Nani Mwenye Haki?

Me370

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2008
Posts
985
Reaction score
293
Asalam Alaykum,

Leo katika kijiwe chetu kukawa na ubishi kidogo, embu chukulia hii scenario

Mgeni kaja, mwenyeji ukaingia kwenye Fridge ukamchukulia Pepsi ukampa. Baada ya mgeni kufungua ile soda akaangalia nyuma la kizibo na kukuta kuna ushindi wa Millioni Moja. Je mwenye ile haki na ile pesa ni nani na kwanini unaona hivyo?
 
Unajua kuna baadhi walisem ni ya mwenyeji kwa kuwa soda zipo kwenye fridge lake na hakwenda dukani kuinunua so hata asingekunywa mgeni labda wangekunywa watoto wake. Hivyo ile zawadi ilikuwa ni yake maana ile soda ingenywewa tu ndani ya nyumba.

Wengine wakasema ni ya mgeni kwa kuwa ndo aliyekunywa soda ingawa hakununua yeye.
 
Ukishampa mgeni soda,yako ni chupa tu,that's y kuna wengine huwa wanaving'ata vizibo na hulizwi..

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Always in this world circumstances things are Two !
(I mean pair)
Mfano -
Sweet with Bitter
Profit with Loss !
Happy with Sad!
Slow with Fast !
So far ukipenda faida kumbuka na hasara ipo .
Chukulia umenunua hizo soda ukiwa huna chupa .
Mkakubaliana na mwenye duka (Mangi) uache deposite ya chupa 300@ .
Ukafanya hivyo, ukiwa hom umempa mgeni wako soda (ambayo haikuwa na zawadi)
Bahati mbaya mgeni wako kadondosha chupa ikavunjika.
Wakati unarudisha chupa zilizobaki itawezekana huyo mgeni ndo alipie ile pesa ya deposite?
Jibu ni haiwezekani . Mwenye mgeni ndo utawajibika .
Na ndivyo hivyohivyo pakipatikana faida-bingo kwenye soda , obviously ni haki ya mwenye nyumba .
Sio ikitokea hasara iwe ya mwenyeji , faida iwe ya mgeni .
Haipogo hiyo maneno .
 
Kama nimefungua nikakuta zawadi sikwambii napiga kimya naondioka ba kisoda changu
 
Kama nimefungua nikakuta zawadi sikwambii napiga kimya naondioka ba kisoda changu

Huo sasa upanja! As knows Nyofo! Utakua ni Mwizi tu kama wezi wengine !
Tena wathubutu kusema "naondoka na kisoda changu!" si ungesepa na chupa basi !
Wewe ulichotakrimiwa ni maji tu , yaliomo chupani .
Zaga zote tofauti na liquid si zako , za mwenye banga.
 
Huo sasa upanja! As knows Nyofo! Utakua ni Mwizi tu kama wezi wengine !
Tena wathubutu kusema "naondoka na kisoda changu!" si ungesepa na chupa basi !
Wewe ulichotakrimiwa ni maji tu , yaliomo chupani .
Zaga zote tofauti na liquid si zako , za mwenye banga.

Hahaha tutagombana asee
 
mgeni kama mimi ndiye mwenyehaki .
 
Mgeni ndio mwenye haki, Mimi ndio nimefungua kizibo, Je kama watoto wako wangekunywa bila kufungua kisoda? Mlengwa wa faida hapa ni mimi. Soda ni zawadi kwa mimi kupoteza muda wangu kuja kukujulia hali. Zawadi inapokuja na Bonus ntakurudishiaje?

Alafu nani anayesema Maji yangu kizibo chako? Chupa inaeleweka ndio maana kama huna chupa huwezi uziwa soda kama hawakujui ila ninapinga kisoda hakina mwenyewe (Maana ni Uchafu).

Nauliza swali ninavyoenda nunua soda dukani Nanunua maji tu kisoda ni cha mwenye duka?
Kama kisoda pamoja na maji ni mali yangu mnunuzi basi zawadi ni yangu.
Aisee mimi ningekomaa nacho
 
Always in this world circumstances things are Two !
(I mean pair)
Mfano -
Sweet with Bitter
Profit with Loss !
Happy with Sad!
Slow with Fast !
So far ukipenda faida kumbuka na hasara ipo .
Chukulia umenunua hizo soda ukiwa huna chupa .
Mkakubaliana na mwenye duka (Mangi) uache deposite ya chupa 300@ .
Ukafanya hivyo, ukiwa hom umempa mgeni wako soda (ambayo haikuwa na zawadi)
Bahati mbaya mgeni wako kadondosha chupa ikavunjika.
Wakati unarudisha chupa zilizobaki itawezekana huyo mgeni ndo alipie ile pesa ya deposite?
Jibu ni haiwezekani . Mwenye mgeni ndo utawajibika .
Na ndivyo hivyohivyo pakipatikana faida-bingo kwenye soda , obviously ni haki ya mwenye nyumba .
Sio ikitokea hasara iwe ya mwenyeji , faida iwe ya mgeni .
Haipogo hiyo maneno .

nimekuelewa mkuu WA band
Nalog off
 
Soda ununuliwe na zawadi ushinde wewe...majanga
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom