Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,258
- 20,702
Kila kijana utakaekutana nae barabarani hata wewe unaesoma hii thread na wengine wameshatendwa(kuumizwa kimapenzi)kutokana na hali kuna ambao wameamua kutokuwa waaminifu au wengine wanarevange kwa kuwatendea wengine hivyo,matokeo yake idadi ya watendwa inaongezeka,ni nani alie anzisha kati ya mwanaume na mwanamke??