Wa Nyumbani
JF-Expert Member
- Mar 31, 2011
- 438
- 67
Tuko pamoja mkuu....umenipa kali ya kufungia wiki!!!!!!!!
hahaha!!!
Imani dhaifu!!!!!!loh!!!
sasa na huyo mwenye Panga nae kadhamiria kutisha watu, unamtafuta aliye Muislamu ndani ya Msikiti jamani!
damu ni najisi (uchafu) hivyo hupasi kuingia nayo !Sheria ipi inamzuia kuingia?
Jf inaweza ikakufanya raia wakuelewe vingine kabisa!
damu ni najisi (uchafu) hivyo hupasi kuingia nayo !