Jirani hebu nipe update.... Mnyama kishakula nyama ya mtu au?
Mtani Jembe haina tofauti na mashindano ya mchangani ndondo, Yanga hatushiriki tena huu ujinga
Kujifariji inaruhusiwa.......tulia bwana bakora ziwaingie ...
Hahahaha hapa alipo miwani imekua mizitooo.Hajitambui kabisaa.Yupo yeboyebo yani hapa ni kama vile nina mgonjwa tena yupo ICU full kumbwela mbwela
Mtani Jembe haina tofauti na mashindano ya mchangani ndondo, Yanga hatushiriki tena huu ujinga
pfuuuuu ni kazi...pole sana utakosa chakula cha usiku mwezi mzima.
hahahahaha afu kweli hata mi naona!