Nani mmiliki wa Mwendokasi?

Nani mmiliki wa Mwendokasi?

musicarlito

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2020
Posts
588
Reaction score
904
Wakuu

Siasa na biashara ni sumu...ni nani wanamiliki kampuni hii ya DART?

Bila shaka wana nguvu kuliko serikali

Hii ni dalili nzuri ya kuonesha kufeli kwa serikali...
 
Wakala ya Mabasi Yaendayo Haraka (DART) ni taasisi ya serikali iliyoundwa kwa mujibu wa Tangazo la serikali No. 120 la tarehe 25 Mei 2007 chini ya sheria No. 30 ya Wakala za Serikali ya mwaka 1997 na marekebisho yake. Jukumu kuu la DART ni kuanzisha na kuendesha mfumo wa Usafiri wa Mabasi Yaendayo Haraka kwa Jiji la Dar es Salaam.

Huduma ya Mabasi yaendayo kwa haraka ni rafiki kwa kila mtu, inawezesha wanafunzi kufika shuleni mapema 😃
03c8b18b7219cb4f5dca07b3a3726184.jpeg
 
Wakala ya Mabasi Yaendayo Haraka (DART) ni taasisi ya serikali iliyoundwa kwa mujibu wa Tangazo la serikali No. 120 la tarehe 25 Mei 2007 chini ya sheria No. 30 ya Wakala za Serikali ya mwaka 1997 na marekebisho yake. Jukumu kuu la DART ni kuanzisha na kuendesha mfumo wa Usafiri wa Mabasi Yaendayo Haraka kwa Jiji la Dar es Salaam.

Huduma ya Mabasi yaendayo kwa haraka ni rafiki kwa kila mtu, inawezesha wanafunzi kufika shuleni mapema 😃View attachment 3313863
🤣🤣🤣
 
Na hilo sio Mwendokasi tu.., soon na hizi PPP's za Kafulila utakuwa unauliza ni nani mmiliki wa Tanesco, au Nani mmiliki wa Kivuko..... Dawa ni Ushindani Serikali ifanye kivyake mwanzo mwisho (affodability) na kila mtu binafsi mwenye uwezo afanye kwa ushindani wala asipangiwe bei wala kushurutishwa...

 
Wapo hapohapo Dar es salaam wanawachora tu mnavyosumbua na kusumbuka huku wao wakinyonya taratiibu.

Hata hiyo DP world wamiliki wapo hapohapo Dar es salaam, wale DP world wenyewe wanakula tu asilimia fulani yakuitumia, wanyonyaji wakuu wapo hapo Dar es salaam.

Bahati mbaya hata wale machawa masikini wanakula mabaki tu for them to survive na kuishi show off life ilihali wenzao ni secret societies zinazoishi invisible life yenye misingi maisha mazuri vizazi na vizazi.
 
Wapo hapohapo Dar es salaam wanawachora tu mnavyosumbua na kusumbuka huku wao wakinyonya taratiibu.

Hata hiyo DP world wamiliki wapo hapohapo Dar es salaam, wale DP world wenyewe wanakula tu asilimia fulani yakuitumia, wanyonyaji wakuu wapo hapo Dar es salaam.

Bahati mbaya hata wale machawa masikini wanakula mabaki tu for them to survive na kuishi show off life ilihali wenzao ni secret societies zinazoishi invisible life yenye misingi maisha mazuri vizazi na vizazi.
Mungu yupo
 
Nimeona clip moja, basi la mwendokasi, linavuja kama pakacha la kubebea embe au zambarau toka Kigamboni.

Walisimama wote, wanasema wao na wanaotembea kwa miguu na hiyo mvua, tofauti yao ni kasi tu. Niliwaonea huruma. Kwanini wa Tz wamezoea shida kiasi hiki?
 
Nimeona clip moja, basi la mwendokasi, linavuja kama pakacha la kubebea embe au zambarau toka Kigamboni.

Walisimama wote, wanasema wao na wanaotembea kwa miguu na hiyo mvua, tofauti yao ni kasi tu. Niliwaonea huruma. Kwanini wa Tz wamezoea shida kiasi hiki?
Inatia huruma
 
Back
Top Bottom