Kurunzi
Platinum Member
- Jul 31, 2009
- 10,175
- 11,573
Wanajamvi kwa siku za hivi karibuni nimesikia watu wengi wakiiongelea sana hii project AVIC TOWN, Nimeisikia project hii hasa baada ya timu ya Yanga kuweka kambi huko kwa ajili ya maandalizi ya michezo ya ligi.
Wanasema uwekezaji uliwekwa hapo si wa kimchezo mchezo, ni mji wa kisasa haswa kuna kila kitu kuanzia maduka, hoteli, appartment, viwanja vya michezo pia kuna kituo cha polisi kwa ajili ya ulinzi nk.
Pia nimesikia hawa jamaa ndiyo wamiliki wa Sea view na Osysterbay appartments.
Kesho waandishi wa habari wamealikwa kwenye Yanga Digital Day kwenye viunga hivyo.
Nani wamiliki wa hizi project?
View attachment 1691726
Wanasema uwekezaji uliwekwa hapo si wa kimchezo mchezo, ni mji wa kisasa haswa kuna kila kitu kuanzia maduka, hoteli, appartment, viwanja vya michezo pia kuna kituo cha polisi kwa ajili ya ulinzi nk.
Pia nimesikia hawa jamaa ndiyo wamiliki wa Sea view na Osysterbay appartments.
Kesho waandishi wa habari wamealikwa kwenye Yanga Digital Day kwenye viunga hivyo.
Nani wamiliki wa hizi project?
