Nani Mmiliki wa AVIC Town Kigamboni

Nani Mmiliki wa AVIC Town Kigamboni

Matola naweza kupata kampuni au mashirika yenye hire purchase agreement?
Maana najua nyumba za mradi CHANIKA na kuna zile za NSSF vikunai...
Kwingineko je?
Nimebobea kwenye real estate, kama unataka ushauri Nunuwa kiwanja kwa bei kubwa accessible to city center, usitoke nje ya kilometres 30, utakuja kunishukuru.

Achana na nyna ambayo haujaplan ujenzi wake uishi vipi.
 
Back
Top Bottom